Diwani wa Kata ya Gwarama (CHADEMA) na aliyekuwa mgombea wa Ubunge kwenye uchaguzi mdogo jimbo la Buyungu aachana na CHADEMA na kujiunga CCM

pepekale

Member
Nov 25, 2010
60
50
Diwani wa Kata ya Gwarama wilayani Kakonko na MwanaJF Ndugu Elia F Michael aliyekuwa mgombea wa ubunge kwenye uchaguzi mdogo mwaka 2018 jimbo la Buyungu ameamua kuachana na Chadema na kujiunga na CCM.


Pia soma




Gwarama.PNG
2209770_IMG_20191111_135847.jpeg
 
Aliyekuwa Mgombea wa Ubunge jimbo la Buyungu kwenye uchaguzi mdogo 2018 ndugu Eliah Michael ameamua kuachana na Chadema na kujiunga na CCM
 
Diwani wa Kata ya Gwarama wilayani Kakonko Ndugu Eliah Michael aliyekuwa mgonbea wa ubunge kwenye uchaguzi mdogo mwaka 2018 jimbo la Buyungu ameamua kuachana na Chadema na kujiunga na CCM muda huh.
mkumbusheni aondoke na mkewe kabisa, hatutaki matatizo mbeleni.
 
Diwani wa Kata ya Gwarama wilayani Kakonko Ndugu Eliah Michael aliyekuwa mgonbea wa ubunge kwenye uchaguzi mdogo mwaka 2018 jimbo la Buyungu ameamua kuachana na Chadema na kujiunga na CCM muda huh.
Alitekwa au ni free will? Elezea na undani wake maana tunajua sikuhizi na kutekana kupo!

Wewe ni nani? Mtekaji mwenyewe unapima kima na maji? Mbona badala ya yeye Kutoa taarifa unatoa wewe?
 
Aliyekuwa Mgombea wa Ubunge jimbo la Buyungu kupitia CHADEMA kwenye uchaguzi mdogo 2018 ndugu Elia F Michael ameamua kuachana na Chadema na kujiunga na CCM.

Ndugu Elia Michael ni Diwani wa Kata ya Gwarama kupitia CHADEMA.

Pia soma



Elia.PNG
 
Chadema inapokosea ni kuwaamini watu wasio ba kazi na kuwapa majina makubwa na kuwatafutia vyeo vikubwa mno..
Huyo Elia hata ukimuangalia tu ni kama mtu ambaye hata uwezo wa mahitaji ya kawaida ni mgumu. .. aje awekewe pesa ndogo meza ni au udc wa hela mbuzi lazima apagawe
 
Dogo amejisalimisha kwa mtutu wa Bunduki,Afisa Usalama wa Kankoko katumia nguvu sana kumsainisha dogo ili atangaze kuhama.Kifupi,dogo kapitia mateso sana siku kadhaa kabla ya kutakiwa kutangaza kujiunga na huko alikoenda.

Siasa za namna hii hazina uhai kwa mahali anapokwenda,maana mnakuwa na wanachama wanaotokana na vitisho,ahadi na mateso,na sio sera.Tumefikia hatua hii,na tutafika kubaya zaidi tunapoelekea 2020.Wakati mwingine tupime akili na kujua historia na hulka za wagombea kabla ya kuwapa madaraka makubwa.

Kuna hatari siku moja huko tunakoenda,nchi ikawa chini ya "mwezi mchanga",na kwa aina ya katiba yetu,tutabaki kulaumiana kwenye vijiwe vya kahawa,tukitoka tunaufyata,maana mwezi mchanga ana dola yenye jeshi,mahakama,polisi na magereza
 
Back
Top Bottom