Mzee wa Posho
Senior Member
- Jul 14, 2011
- 160
- 13
Diwani wa CDM na wanachama wengine 9 wanashikiliwa na Polisi kwa Kuchoma nyumba ambayo walidai ipo kwenye kiwanja kwa ajiri ya kutengeneza stendi ya Mabasi! Wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa CDM,walikubaliana wakateketeze nyumba hiyo,ndio maandamano yakaelekea kwenye nyumba hiyo yakiongozwa na Diwani huyo!
Source: Taarifa ya habari ITV na TBC1 Usiku saa 2
Source: Taarifa ya habari ITV na TBC1 Usiku saa 2