jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
AK47 si mchezo.Nadhani tatizo ni aina ya silaha.Mwanaume atakaaje bila silaha. Halafu ch 10 ndo wameona ni breaking newz?
AK47 si mchezo.Nadhani tatizo ni aina ya silaha.Mwanaume atakaaje bila silaha. Halafu ch 10 ndo wameona ni breaking newz?
thenk u bro,wewe ni mwanaharakati,nashukuru kama ulisikia ivo kama mimi nilivosikia,msekwa anawalipa watu waje watuchafulie jamvi bahati nzuri wote tunawajua na watatoka wenyewe,kwani wangap walikuja na wakatuacha.?Hakukamatwa na silaha bali aliikabidhi silaha kwa mkuu wa mkoa kwa kukubali mwenyewe.Kuwa na siraha kinyume na sheria ni kosa, ila kuna hili la kutangaziwa kwamba wenye siraha kinyume na sheria wazikabidhi sehemu fulani la sivyo wakikamatwa watachukuliwa hatua za kisheria, wakikabidhi yameisha, kama wale wa epa waliambiwa wakabidhi fedha yaishe.Sijui mamlaka haya huwa yanatoka wapi,kwamba kabidhi yaishe,nafikiri sio ya kisheria, lakini imezoeleka tu.
Sielewi ni vipi wengine wanakimbilia kufikiri inahusishwa na chama chake.
Amesikika kwenye tv akihojiwa na mkuu wa mkoa akakiri kwamba anamiliki silaha aliyopewa na "jamaa mmoja". Kisha akaongoza msafara wa mkuu wa mkoa kwenda kuifukua
Baadaye akasikika anaomba msamaha kwa wanakijiji wenzake
Swali langu ni kwa nini kazi ya upelelezi na interrogation ifanywe na mkuu wa mkoa . Kisha kwa nini tv zialikwe kuanzia kumkamata, kumhoji, kukubali kwake, na kwenda kuifukua
Kwangu mimi ilikuwa kama natazama igizo badala ya habari. Hasa RC alipokuwa ana act kama Rambo na vile alivyokuwa anasifiwa na mleta habari - Mabere Makubi
Mkuu hiyo Avata sio maigizo ni maisha halisi ya watanzania wengi wakiwemo wazazi wangu ambayo bado wanaishi aina hii ya maisha hii ikimaanisha kuwa nami bado naishi aina hii ya maisha indirect mzee! So nimeiweka nikimaanisha kabisaandugu avatar yako inanikumbusha mbali sana. wewe inawezekana ulipenda kuiweka kwa ajiri ya kuigiza. ndugu zungumza sana lakini omba usiwemo kwenye kundi la watu wa hivo. ila nazani unaweza hisi nimetoka mazingira gani!
Narudia tena kuandika kuwa chadema inavyoonekana wengi ni majambazi.
chadema ni chama cha watu kama hawa, wasiofuata sheria wala kanuni
Sasa alikuwa ameifukia ili iweje, au hajui sisi huku Arusha tunatawaliwa kimabavu....
Hivi yule Meya wa CCM Mwanza aliyekuwa rumande kwa tuhuma za mauaji ya katibu wa ccm ameshatoka??
Sielewi ni vipi wengine wanakimbilia kufikiri inahusishwa na chama chake.
Amesikika kwenye tv akihojiwa na mkuu wa mkoa akakiri kwamba anamiliki silaha aliyopewa na "jamaa mmoja". Kisha akaongoza msafara wa mkuu wa mkoa kwenda kuifukua
Baadaye akasikika anaomba msamaha kwa wanakijiji wenzake
Swali langu ni kwa nini kazi ya upelelezi na interrogation ifanywe na mkuu wa mkoa . Kisha kwa nini tv zialikwe kuanzia kumkamata, kumhoji, kukubali kwake, na kwenda kuifukua
Kwangu mimi ilikuwa kama natazama igizo badala ya habari. Hasa RC alipokuwa ana act kama Rambo na vile alivyokuwa anasifiwa na mleta habari - Mabere Makubi
Why wasimkamate RA kwa isue ya KAGODA? Bunduki kitu gani