Wanatafta kick hao..kma diva angekuw anamdiss mond insta c ingkuw kitambo tushaonaga...
Hawana lolote wanatafta HEADLINEZ..
She says she only fucks the exclusive!
Sasa ya ndomo ishachunguliwa na mademu wa tandale kabla hajatoboa.Haina exclusivity, haichagui haibagui.
Mwanamke ataponea kwa mwanaume...kawaida kabisaa.
Hahahaaa exclusive ya diva ipi sasa! ? GK? ??????
Mwenzangu labda wewe unajua.
Ila tuache utani, ni diva alimpondaje huyo kijana wenu?
Mara ngapi na lini
Umenena vyema mkuu....diva nusu ale kichapo jinsi daimond alivyo kuwa kapanic.Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya, Diva ameanza kumdiss Diamond siku nyingi sana kipindi cha Tuzo za MTVMAMA. Diamond hakuwahi kumjibu chochote, siku ameshinda tuzo Diva huyo huyo kaanza kujipendekeza anamuweka kutwaaa kwenye account yake ya instagram mara anampongeza, mara anaweka marafiki zake wa nje za nchi ambao ni fans wa diamond, bado kijana kakausha, mwisho Diva akataka kufanya interview na Diamond, mameneja wake wakakataa kiaina, since there siku ona kingine zaidi ya haya ya leo ambayo nayo sikuyasikiliza nimekutana na huu umbea baadae sana.
Kwa hili mnamponda Diamond kwakuwa tu hammpendi ila sijawahi kuona popote Alipowahi kumjibu Diva.
Diva jamani simuwezi! Msichana mshari yule! Kamdiss sana Diamond, nimeeleza kidogo hapo juu, naona uvivu kueleza, huwa anamdiss halafu anafuta post.
Au Diamond ana kisirani cha ugomvi wa Esma na Diva.
Naona Diva akijikomba sana kwa Kiba akaacha
Demu mmoja hana mvuto lkn Ana mbwebwe kama mzungu lkn ni WA kule nyumbani
Baba siku hizi nimeacha umbea nadeal na mambo ya maana kuhusu nchi yangu.
Huu ujinga nimeuacha kwa muda.