HP pavilion sio computer.hazifai hata kidogo.huwa zinashida ya board.usigangaike Ku repair. Itakufa soon.workshop zip zaidi ya 20.board zinapata moto balaa.
Wadau natafuta display ya hiyo laptop hapo, yangu imekufa so nataka kureplace. Inapatikana wapi na kwa shilingi ngapi? hata kama ni used ili mradi inafanya kazi
brand newmkuu hiyo ni brand new ama iko katika condition gani? na bei ni fixed ama maelewano? thanks