Is t fair kudisco mwaka wa mwisho alafu hupewi hata diploma?
Yap kwani ulikua unasoma diploma? Hv ukiwa unaenda safari kuelekea moshi,ukaishia segera kwahyo ndio utakua umefika? Piga buku mkuu coz sio mtoto wa kigogo wewe![/QUOTE
Yaani kweli 4 years unaondoka bila kitu?
[/QUOTE
Yaani kweli 4 years unaondoka bila kitu?
Teh teh teh,we ka co mcoet bac utakua msuaso.
Kuanza upya sio ujinga-Mrisho mpoto
Bt think of the yearz u hav lost mkubwa..
ndio si haupo serious!
ukifikiria hivyo hutaendelea mbele,take it as a chalenge.Anza upya na uwe bookworm wa kufa mtuBt think of the yearz u hav lost mkubwa..
Bt think of the yearz u hav lost mkubwa..
Kwani ulipokuwa-registered uliambiwa usipomaliza degree utapewa diploma? Tuache visingizio, ukienda shule gangamala, piga kitabu na umalize kwa kufaulu.
Kuna jamaa alidisco Coet.Akajiendea zake Mzumbe kusoma Bcom.Sasa anakula bata kampuni flani.Angekata tamaa na kujutia Disco,angekuwa wapi leo?
Yap kwani ulikua unasoma diploma? Hv ukiwa unaenda safari kuelekea moshi,ukaishia segera kwahyo ndio utakua umefika? Piga buku mkuu coz sio mtoto wa kigogo wewe!
Kuna jamaa alidisco Coet.Akajiendea zake Mzumbe kusoma Bcom.Sasa anakula bata kampuni flani.Angekata tamaa na kujutia Disco,angekuwa wapi leo?