Discontinue chuoni

Chukua transcript yako tafuta vyuo vya nje, unaenda kumalizia mwaka wa mwisho bila tatizo. Wako watu wamefanya hivyo na sasa maisha yao ni mazuri sana. Pia unaweza kumalizia kwa distance learning kwenye hivyo vyuo vya nje. mifumo ya elimu ya nchi zetu haiko supportive sana.

Huo ndo ushauri wangu. I hope utakusaidia

hivi ukidisco mwaka wa mwisho unapewa trancsript?
 
Yah!Nakuunga mkono mtoa hoja!Vyuo vingi vya nje hasa Asia wanatoa certificate of attendance kwa wale ambao walimaliza muda wote wa degree husika lakini hawakuqualify kupata hiyo degree!So hata bongo wakiiadopt hii itasaidia kwa kweli,haileti maana mtu kadisco semester ya mwisho then unamwambia aanze upya!!
 
It is fair, legal and ethical. You have not fulfilled the requirements. Go back to square one.
 
Concept nzima ya disco inaonyesha udhaifu katika uendeshaji wa vyuo vyetu. Mtu apite kote huko na ku disco chuo kikuu? tena mwaka wa mwisho?

Sie bado tuna ile dhana batili ya kwamba "mitihani migumu na wanafunzi kufeli ndiyo matokeo ya elimu bora" wakati ukweli ni kwamba wanafunzi kufeli kunaonyesha kushindwa kwa mfumo wa elimu.
 
Concept nzima ya disco inaonyesha udhaifu katika uendeshaji wa vyuo vyetu. Mtu apite kote huko na ku disco chuo kikuu? tena mwaka wa mwisho?

Sie bado tuna ile dhana batili ya kwamba "mitihani migumu na wanafunzi kufeli ndiyo matokeo ya elimu bora" wakati ukweli ni kwamba wanafunzi kufeli kunaonyesha kushindwa kwa mfumo wa elimu.

Hata mimi nashangaa, labda kama kabadilisha tabia na life style yaani kaanza anasa za dunia.
 
bongo bana...hilo li nchi .. kweli mkuu sio haki wakupe diploma usepe , ! kuna rafiki yangu aliwahi kuniuliza kwa nini nilikimbia muhimbili... nikamwambia huku niliko kuna tofauti kubwa sana na muhimbili... muhimbili unatungiwa mtihani ili ufeli ... wapate kupunguza idadi ya watu while huku nilipokimbilia wana nitayarisha kuwa dactari...

wabongo wamefika kipindi wanadhani chuo chenye kutoa DISCO nyingi basi ndio chuo noma.. kumbe ****** mtupu!!

dah! Kweli njiwa, unakuta mitihani migumu wakati class wanapiga bla bla tu. . Vyuo vyetu full kukomoana.
 
Nendeni mkassome vyuo vya ufundi kama DIT NA MIST, huko ndiko wanahicho unachokitaka. Ukianzisha huo mtindo watu hawatakuwa serious
 
Back
Top Bottom