KIBUGAmk
Member
- Jan 22, 2024
- 83
- 130
Wandugu kuna mdogo wangu ambaye amehitimu kidato cha nne mwaka jana na wakati wa kujaza selform, alichagua kwenda chuo, sasa alikuwa anauliza ni kwa namna gani anaweza akapata connection hapo chuoni, na ni kwanamna gani anaweza kutengeneza marafiki wengi awapo chuoni, ikibidi hata chuo kizima awe na urafiki na kila mtu ili kuwe na wepesi kupata connection kwenye maswala ya kimaisha,
Nawasilisha
Nawasilisha