Diploma Holders

sime

Senior Member
Jul 14, 2016
146
86
Je kuna diploma holders ambao wamekwisha pata mkopo?,maana hali huku siyo shwari majina chuoni yametoka ila langu na ya wenzangu watano niliyotokanao diploma hayapo na programmes tulizopata wote ni priority vile vile mimi nipo kwenye kundi lile la wanafunzi ambao ni single parent,sasa nataka kufahamu ni kwetu tu au ni diploma holders wote?
 
Jitahidini kujisomesha japo kwa kujikongoja wapo wenzenu hali ni mbaya zaidi yenu kuweni makini na wapole Mheshimiwa yuko sahihi sana
 
Tatizo lenu ni moja mna haraka sn na maisha,, umeshapata dip mfno ya clinical mdcn, tulia piga kaz miaka 3 baada ya hapo unaenda kusoma hutokua na presha na wala hutohitaj mkopo! bt nyie mwk huu unamaliza,, mwk huo huo untk usome degree, sa diploma ulisoma ya nn? au mnalitumia kama daraja baada ya kufeli? achen haraka haraka na maisha.
 
Screenshot_2016-10-28-19-42-52.png
kwa hiki kipengele cha Cluster I, tunapaswa kupewa Mkopo.
 
Je kuna diploma holders ambao wamekwisha pata mkopo?,maana hali huku siyo shwari majina chuoni yametoka ila langu na ya wenzangu watano niliyotokanao diploma hayapo na programmes tulizopata wote ni priority vile vile mimi nipo kwenye kundi lile la wanafunzi ambao ni single parent,sasa nataka kufahamu ni kwetu tu au ni diploma holders wote?
Dah ni wote asee coz mpka nw sijasikia aliyetoka diploma kapata mkopo hata chuoni kwetu ni form six tu ndo wamepata coz me mwenyew ni orphan bt ndo ivo hamna kitu
 
Tatizo lenu ni moja mna haraka sn na maisha,, umeshapata dip mfno ya clinical mdcn, tulia piga kaz miaka 3 baada ya hapo unaenda kusoma hutokua na presha na wala hutohitaj mkopo! bt nyie mwk huu unamaliza,, mwk huo huo untk usome degree, sa diploma ulisoma ya nn? au mnalitumia kama daraja baada ya kufeli? achen haraka haraka na maisha.
hiyo kazi tuitoa wapi??
 
mimi nashindwa kuelewa kwamba inakuaje waliotoka form six wakapewa mkopo ila waliotoka diploma wasipate wakati kozi mnayoenda kuisoma ni hiyo hiyo wote kwapamoja
 
Je kuna diploma holders ambao wamekwisha pata mkopo?,maana hali huku siyo shwari majina chuoni yametoka ila langu na ya wenzangu watano niliyotokanao diploma hayapo na programmes tulizopata wote ni priority vile vile mimi nipo kwenye kundi lile la wanafunzi ambao ni single parent,sasa nataka kufahamu ni kwetu tu au ni diploma holders wote?
Ndg mi nadhani hicho c kilio chako pekee ni cha diploma holder wote hapa tz walioapply loan this year. Maana kila chuo utaona diploma holder hajapata hata kama atakuwepo kwenye kundi ambalo lingemfanya apate loan.
Ila usife mungu atafanya wepesi wake hujui yajayo yawezekana yakatoka majina kwa walioomba mkopo na ukabahatika ww na wengne kunugaika na huo mkopo
 
Juma tatu tukutane loan board... kama wasingetoa mkopo kwa diploma wangesema tusiombe na tujiandae kujisomesha.... mlioko dar wenye kozi za vipaumbele jumatatu tutinge bodi watupe majibu... hali ni ngumu na hizi kozi bila pesa!!
 
Tatizo lenu ni moja mna haraka sn na maisha,, umeshapata dip mfno ya clinical mdcn, tulia piga kaz miaka 3 baada ya hapo unaenda kusoma hutokua na presha na wala hutohitaj mkopo! bt nyie mwk huu unamaliza,, mwk huo huo untk usome degree, sa diploma ulisoma ya nn? au mnalitumia kama daraja baada ya kufeli? achen haraka haraka na maisha.
Hizo ajira utatoa wewe?
Tumia akili wewe si kuropoka tu hovyo!
Sasa mimi nimehitimu serikali imesisitisha ajira hapa nafanya nini?
Ndiyo wapumbavu wengine husema vijana mjiajiri wao wapo serikalini umri wa kustaafu hawataki kuachia ngazi.
 
Hizo ajira utatoa wewe?
Tumia akili wewe si kuropoka tu hovyo!
Sasa mimi nimehitimu serikali imesisitisha ajira hapa nafanya nini?
Ndiyo wapumbavu wengine husema vijana mjiajiri wao wapo serikalini umri wa kustaafu hawataki kuachia ngazi.

Yaani tunawekwa nyuma nyuma kuanzia guide book,selection mpaka mkopo ,duu mwaka huuu hatari sana
 
Back
Top Bottom