JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,529
- 7,618
Kutokana na mjadala unaoendelea kuhusiana na digital broadcasting nimepata maswali machache ambayo anayefahamu anaweza kunisaidia majibu tafadhali.
1. Katika mfumo huo, je kila redio na television zitaendelea kumiliki minara yao ya kurushia matangazo au ni hayo makampuni ambayo yataanzishwa mfano wa kampuni iliyoingia ubia na tbc?
2. Je hakutakuwa na kikwazo cha kiteknolojia kwa vifaa (radios&tvs) vinavyotumika kwa sasa maana vimekuwa vikipokea matangazo kwa mfumo wa analogue (yaani hakutahitajika uwekaji wa vifaa kama modem)?
3. FM Radio stations zimekuwa zikitumia frequency tofauti katika maeneo tofauti mfano 89.5MHZ DSM, 92.0MHZ Mwanza kwa station moja, kwa nini wasiruhusiwe kutumia frequency moja kwa nchi nzima? Ni suala la leseni tu au kuna kikwazo kiteknolojia?
Anayefahamu anisaidie tafadhali, akhsante!
1. Katika mfumo huo, je kila redio na television zitaendelea kumiliki minara yao ya kurushia matangazo au ni hayo makampuni ambayo yataanzishwa mfano wa kampuni iliyoingia ubia na tbc?
2. Je hakutakuwa na kikwazo cha kiteknolojia kwa vifaa (radios&tvs) vinavyotumika kwa sasa maana vimekuwa vikipokea matangazo kwa mfumo wa analogue (yaani hakutahitajika uwekaji wa vifaa kama modem)?
3. FM Radio stations zimekuwa zikitumia frequency tofauti katika maeneo tofauti mfano 89.5MHZ DSM, 92.0MHZ Mwanza kwa station moja, kwa nini wasiruhusiwe kutumia frequency moja kwa nchi nzima? Ni suala la leseni tu au kuna kikwazo kiteknolojia?
Anayefahamu anisaidie tafadhali, akhsante!