Did they actually land on the moon ?

Leteni mavitu Wakuu ili tuelimike. Hapa ndio GREAT THINKERS Bana. Thanks kwa wote mliochangia. Tuendelee bado patamu hapa. Napenda hii mada.
 
yaan thread tamu balaa...jaman wenye ujuz na haya mambo watufungue zaidi.
 
thanx kwa wote mliochangia mada, sasa nimeshawishika kabisa kwamba hamna mtu alieenda mwezini. Af cha kushangaza nasa wanasema kwama astronauts walivaa mavazi ya aluminium. Can aluminium prevent heavily radiations from penetration.? Na pia watu wakaenda space na kurudi salama salimini.? Kuna vitu vingi vinaingia hapa na nakubaliana na usemi wa mchangiaji m1 kwmba it was due to cold war.
 
hawa watu waliende huko on the moon, utafiti wangu kwa internet and speculation they might have found something on the moon and were told not to come back unless invited or something. Unajua picha walizopigapiga nyingine zilikuwa na structures kama lakini walisema tuu ni rock fomations. labda kuna civilisation huko ndomaana hatujarudi huko na haya mateknologia yote tulio nayo sasa. Ndiyo maana hata hawataki kurelease better technologies which do not use fossil fuel manake watu watataka kwenda on the moon and mars haraka haraka halafu siri itafichuka ulimwenguuu huu atupo wenyewe. Wanabaki kutuambia oh jet fuel is very expensive thats why we can not go back. if they stop all the wars they have now the US and their vibaraka they can go dozen tips to the moon and back different locations and mars.
 
There is a show on discovery channel 'Mythbusters' they tested several claims claimed by conspiracy. I'ts said that NASA never went to the moon and that all the video footage is a fake but it was busted hands down and a nail in the coffin was that when the astronauts went to the moon they left a retro reflector up there and when a very powerfull laser was pointed to the location a reflection was observed proving that man indeed landed in the moon.

That is the only true answer!!
 
So guys i have 2 questions that i can't ans.
1.Yes maybe they faked it then but doesn't the technology to go to the moon and back exist now?
2.Does this mean that the trips on mars are fakes too.
 
So guys i have 2 questions that i can't ans.
1.Yes maybe they faked it then but doesn't the technology to go to the moon and back exist now?
2.Does this mean that the trips on mars are fakes too.

Kukujibu maswali lako labda nianze hivi
Haya mapinduzi yote ya kwenda space yalianza tu baada ya vita ya pili ya Dunia, na ukweli juu ya hiyo ni kuwa, Hitler alikuwa yupo Advanced sana katika modern sciences by that time, Ukiangalia documentary na history mbalimbali za Hitler yeye alishafikia kwenye stage ya kutengeneza Jet engine, computers na vitu vingine vingi japo dunia ya Waamerika na Warusi walikuwa Hawajafikia hiyo stage

Wakati Warusi na Wamarekani na jamaa zake (Waingereza na Wafaransa) wanaingia German, Warusi waliingia upande wa East na wamarekani upande wa West, na walikutana Berlin na hapo ndipo ulipokuwa mpaka wa East na West German (Ukuta wa Berlin), Lakini Warusi ndio walikuwa wa Kwanza kuingia Berlini na walifanikiwa kuingia kwenye ma-Bunker ya Hitler na kuwakuta wanasayansi wengi wa Hitler Pamoja na Modern Equipments ambazo hata kwenyehiyo vita zilikuwa hazijatumika bado na wala wao (Warusi) hawakuwa nazo, Warusi walichukua vitu vingi pamoja na hao wanasayansi, Marekani alikuta mabaki tu na kwa miaka mingi ya mwanzo baada ya vita ya pili ya Dunia Marekani walikuwa wanaangaika kuwatafuta wanasayansi wa Hitler ili waweze kuwatumia kwenye mambo yao ya kisayansi

Warusi waliweza kuwatumia vizuri sana wanasayansi wa Hitler kwenye sector ya Silaha na hii ya Space, Robot, Computer, Jet engines nk, kiwango alichokifikia Mrusi kwenye sayansi hiyo kwa kipindi kile ilikuwa juu sana Zaidi ya Wamarekani na ndio maana hao Warusi ndio wanaonekana kama baba wa Space

Kwa kujibu maswali yako

1) Sio kwamba hiyo Technologia ya kwenda Mwezini na kurudi kwa sasa kuwa hipo, bali hata miaka ile ya 50’s na 60’s hiyo technologia ilikuwepo
Mwaka 1957 Warusi ndio walikuwa watu wa kwanza kuweka satellite kwenye orbit
1957 walifanikiwa kupeleka kiumbe hai (Mbwa-Laika) kwenye space
1961 chombo cha kwanza chenye mtu (manned spacecraft) kwenda Space na kufanya Mzunguko kwenye orbit (hapo alikuwa ni baba wa Space Yuri Gagarin alikufa 1968 kwenye crash ya MiG-15)
Mwaka 1965 mwana mama Valentina (mwanamke wa kwanza space), na mwaka huo huo Leonov alikuwa ni mtu wa kwanza kutembea space, pamoja na hayo yote Warusi walishapeleka Chombo mwezini na Maroboti na walikuja na evidence za 326g za mawe ya mwezini

Baada ya Wamarekani kuona hayo mafanikio makubwa ya Warusi na Wajamaa wote Duniani (Kumbuka dunia ilikuwa kwenye vita baridi), kwao ilikuwa haina budi kutengeneza kitu kikubwa cha kuweza kuiangusha Urusi kwenye hiyo record na ndio kisa cha kutengeneza hiyo movie ya Apollo 11 ndani ya jangwa la Nevada kwamba wamefika mwezini na kupata kilo 382 za mawe ya mwezini zaidi gramu 326 za Warusi (WaAustralia walikuwa na evidence nyingi mno za Apollo 11 kwani by that time wao walikuwa na uwezo wa kupata picha na sauti safi kutoka Jangwani Nevada ilipokuwa inafanyika hiyo movie kwani wamarekani waliirusha live, -NASA wamejitahidi kwa miaka mingi kuzitafuta kopi ili waziharibu- kwani kuna kipande cha picha za mwezini kilikuwa na Kopo la Cokacola)

Kwa hiyo uwezo wa kwenda na kurudi upo ila Warusi walishafanya research kubwa sana ya space na conclusion ilikuwa ni vigumu sana kwa kiumbe kuweza kufika na kutembea juu ya mwezi miongoni mwa hiso sababu ni Radiations/Cosmetic rays, Solar flares na Solar Winds

2) Trip ya Kwenda Mars kwa (Unmanned spacecraft) inawezekana kabisa kuwa ya ukweli, japokuwa Wamarekani ndio waliotuma hicho kitu (Rover) Mars lakini Dunia nzima hasa ile yenye technologia (Russia, China na hata Japan) pia walifanikiwa kupata picha za huko through that Robot
Lakini Tatizo la kupeleka mtu kule (Mars) linabaki palepale (Radiations/Cosmetic rays, Solar flares na Solar Winds) na Tatizo lingine linalijitokeza ni Uzito wa chombo kitachoenda na mtu Mars (Consumables na fuel), niliwahi ona Documentary iliyotoka NASA to Puplic walikuwa wanazungumzia uwezekano wa kutengeza chombo ambacho kitakuwa na mechanism ya kuibadilisha hewa ya huko (N, H, C) pamoja na O2 ili kuwa Fuel itakayotumiwa na Hicho chombo wakati wa kurdi Duniani, yaani kitaenda na mafuta kidogo tu ya kufika huko na mafuta ya kurudi yatengenezwa huko huko

ni story nzuri anyway
 
There is a show on discovery channel 'Mythbusters' they tested several claims claimed by conspiracy. I'ts said that NASA never went to the moon and that all the video footage is a fake but it was busted hands down and a nail in the coffin was that when the astronauts went to the moon they left a retro reflector up there and when a very powerfull laser was pointed to the location a reflection was observed proving that man indeed landed in the moon.

Mkuu kuna robot (Unmanned spacecraft) nyingi za Mrusi na marekani zimeshafika huko (Mwezini), hivyo kuna vitu vingi sana vimeachwa, ni kama sasa hao wataalamu wanapata picha za Mars na wanaweza kupata info za kule na hili hali hakuna mtu aliyefika huko

Hakuna kiumbe aliyekanyaga Mwezini
 
Mkuu kuna robot (Unmanned spacecraft) nyingi za Mrusi na marekani zimeshafika huko (Mwezini), hivyo kuna vitu vingi sana vimeachwa, ni kama sasa hao wataalamu wanapata picha za Mars na wanaweza kupata info za kule na hili hali hakuna mtu aliyefika huko

Hakuna kiumbe aliyekanyaga Mwezini

But there is a footage of the astronauts placing the reflectors aw wait the footage is the one claimed to be faked ryt! So Armstrong is an actor! If so then Hewstone we definately have a problem.lol
 
Nina taarifa za kuaminika kwamba Wamarekani hawakutua mwezini.That is a fact.Ila kwa vile JF members wengi ni wale ambao wamekuwa brainwashed kiasi cha kuamini kwamba kila walilofundishwa shuleni ni sahihi, basi nikasema ngoja wajinga waendelee kulala.Kesho nikipata nafasi nitaleta evidence.Wasomi inabidi tuwe more inquisitive.Mengi tuliyofundishwa mashuleni ni mere braiwashing meant kuendelea kutulaza usingizi.I am glad people in Jf are starting to question Americas' blatant lies and nonsense.QUOTE=Kaka';1901151]Kutokana na clip na documdntary nlzopitia. Nimekuwa fifty fifty na kile nnachofundishwa darasan kwamba marekan ndo wa kwanza kupeleka mtu mwezini kwa kutumia apolo eleven. Cha kushangaza ktk documemtary moja kulkuwepo na msemaji mkuu wa nasa na alishindwa kupangua allegations zlizoelekezwa kwa nasa kwamba hamna mtu alietua ktk mwez hiyo 1968. Naomba maoni yenu wadau.[/QUOTE]
 
i don't know to me it seems like they indeed went there.

Conspiracy theories ziko nyingi sana kuhusu kufika mwezini. Mimi nakumbuka kabisa (1969 na siyo 1968) siku ile ambayo walisema wangetua mwezini dunia nzima ilikuwa tunasikiliza kwa redio. Mimi nilikuwa primary school na mpaka mashamba huko kwetu visiwani hadithi ilikuwa hiyo - jee watatua au hawatatua?

Mimi naamini kwamba wametua mwezini kwa sababu kama hawangetua Warusi wangewaumbua vibaya sana. Munakumbuka siku zile za cold war siri zilikuwa zinauzwa pande zote mbili na siri ya aina hiyo ilikuwa ni bei kubwa sana kwani ingewaumbua vizuri wamarekani.

Kituko, jangwa la Nevada lilitumika kwa kufanya majaribio ya atomic bomb if I am not mistaken. (Off point) na waliotengeneza hilo bomu asilimia kubwa walikuwa ni jews kutoka Ujerumani, Italy (Enrico Fermi) na France, wakashirikiana na wale wa Marekani (akina Oppenheimer) kutengeneza hilo. Kwa hivyo si ajabu kwa Hitler kuwa na technolojia ya anga,

Ila bado inabakia Warusii ndiyo wa kwanza kupeleka chombo angani (Yuri Gagarin?).
 
Nina taarifa za kuaminika kwamba Wamarekani hawakutua mwezini.That is a fact.Ila kwa vile JF members wengi ni wale ambao wamekuwa brainwashed kiasi cha kuamini kwamba kila walilofundishwa shuleni ni sahihi, basi nikasema ngoja wajinga waendelee kulala.Kesho nikipata nafasi nitaleta evidence.Wasomi inabidi tuwe more inquisitive.Mengi tuliyofundishwa mashuleni ni mere braiwashing meant kuendelea kutulaza usingizi.I am glad people in Jf are starting to question Americas' blatant lies and nonsense.QUOTE=Kaka';1901151]Kutokana na clip na documdntary nlzopitia. Nimekuwa fifty fifty na kile nnachofundishwa darasan kwamba marekan ndo wa kwanza kupeleka mtu mwezini kwa kutumia apolo eleven. Cha kushangaza ktk documemtary moja kulkuwepo na msemaji mkuu wa nasa na alishindwa kupangua allegations zlizoelekezwa kwa nasa kwamba hamna mtu alietua ktk mwez hiyo 1968. Naomba maoni yenu wadau.
Thanks mkuu,kwa hamu kubwa tunasubiri hizo clear evidence ili wote tuzungumze lugha moja sasa.
 
...Kila walilofundishwa shuleni ni sahihi, basi nikasema ngoja wajinga waendelee kulala.Kesho nikipata nafasi nitaleta evidence........

Ebu nielewesheni Ni katika darasa/kidato cha ngapi au somo gani mtaala ulikuwa unafundisha amstrong alitua mwezini. inawezekana siku hiyo nilitoroka
 
Conspiracy theories ziko nyingi sana kuhusu kufika mwezini. Mimi nakumbuka kabisa (1969 na siyo 1968) siku ile ambayo walisema wangetua mwezini dunia nzima ilikuwa tunasikiliza kwa redio. Mimi nilikuwa primary school na mpaka mashamba huko kwetu visiwani hadithi ilikuwa hiyo - jee watatua au hawatatua?

Mimi naamini kwamba wametua mwezini kwa sababu kama hawangetua Warusi wangewaumbua vibaya sana. Munakumbuka siku zile za cold war siri zilikuwa zinauzwa pande zote mbili na siri ya aina hiyo ilikuwa ni bei kubwa sana kwani ingewaumbua vizuri wamarekani.

Kituko, jangwa la Nevada lilitumika kwa kufanya majaribio ya atomic bomb if I am not mistaken. (Off point) na waliotengeneza hilo bomu asilimia kubwa walikuwa ni jews kutoka Ujerumani, Italy (Enrico Fermi) na France, wakashirikiana na wale wa Marekani (akina Oppenheimer) kutengeneza hilo. Kwa hivyo si ajabu kwa Hitler kuwa na technolojia ya anga,

Ila bado inabakia Warusii ndiyo wa kwanza kupeleka chombo angani (Yuri Gagarin?).

Hapo nilipo highlight ndio ukweli hasa na kama nilivyosema kwenye point yangu, hao ni baadhi ya mascientist wachache wa kijerumani marekani ilifanikiwa kuwapata na ndio hao kwa asilimia kubwa waliowaelekeza wamarekani Technologia ya mambo ya anga, icluding hayo mabomu ya masafa marefu, Nadhani sijakosea ni jagwa la Nivada wanaita Area 51 is a military base, kama nakumbuka ni Edwards Air Force Base kusini mwa Nevada,
pia inawezekana hata hizo test za Nuclear zilifanyika hapo na panahusishwa sana na mambo ya Aliens obduction
unaweza kugoogle area 51
 
kina mvie yake pia ina elezea uwongo wote alio fake presdent kennedy abt the moon main aim ilikuwa ni ashinde cold war kati yake na russia bada ya kuona warusi wame fika wakashindwa ku land wao waka amua ku land ki uongo sehemu walio igiza hyo landing yao ina itwa area 51 ni eno la jeshi no body goes their iys strictly confidental
 
Mkuu kuna robot (Unmanned spacecraft) nyingi za Mrusi na marekani zimeshafika huko (Mwezini), hivyo kuna vitu vingi sana vimeachwa, ni kama sasa hao wataalamu wanapata picha za Mars na wanaweza kupata info za kule na hili hali hakuna mtu aliyefika huko

Hakuna kiumbe aliyekanyaga Mwezini
Labda nikuulize. Kwani unaamini kuwa hakuna kiumbe aliyekanyaga mwezini. Ni kwa sababu hakuna technologoa ya kufika huko? Au vipi?
 
Tatizo sio kufika bali ni documentary zao ndiyo zinawaumbua na kutufanya tusiamini wanachotueleza,mimi binafsi sikubaliani nao kuwa walifanikiwa kutua mwezini,kwa sababu vitu wanavyoonyesha kwenye documentary zao baada ya kurudi vinapingana na sayansi tunayoijua
mfano
1-Video zao zinaonyesha maastronauts wamesimama mwezini huku wameshikilia bendera ya marekani na inapepea hewani -hii kitu haingii akilini kwa bendera kupepea mwezini kwani hakuna hewa
2-.kwa technolojia ya kipindi hicho kama ukipiga picha basi lazima juu ya picha hiyo utakuta kuna alama ya msalaba(target) 'juu ya picha' ..sasa kwenye picha zao ule msalaba(target) umefunikwa au unaonekana nusu umefunikwa na picha yenyewe kitu ambacho hakingii akilini licha ya kutowezekana kabisa
3.-Muelekeo wa wa vivuli na jinsi hao maastronauts walivyokuwa wanamoove ni vitu viwili tofauti ambavyo haviendani
4.-Picha zilizopigwa zilifanana sana na eneo fulani lenye hali ya kijangwa nchini marekani
Asante sana mkuu,umenitoa matongotongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom