warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,385
Msanii wa kizazi kipya na mshindi wa ktma2014, Diamond Platnum, amefunguka kuhusu tetesi zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa ushindi wake wa tuzo saba mfululizo alizozipata zimesababishwa na mpenzi wake wema sepetu, mwenyewe amefunguka na kukanusha uvumi huo.
" Wanaosema eti nimepata tuzo nyingi kwa kuwa nipo na wema sepetu ,halafu mwaka jana sikupata kwa kuwa nilikuwa na penny siyo kweli, kwani kila mtu ana muda wake na ana nafasi yangu katika maisha, hata wakati napata hizo tuzo mbili mwaka jana sikuwa na penny, bali nilikuwa na jokate mwegelo. ile video ya my number one nilitumia fedha zangu mwenyewe, kisha baada ya kurudi nikaenda coca cola ambao ni wadhamini wangu kuwaonyesha nilivyofanya". Alimalizia staa huyo wa single ya my number one.
Mbali na tuzo saba alizozipata , diamond alisema mpaka sasa ivi ana jumla ya tuzo 17, ambazo yeye mwenyew anasema alitakiwa kuwa nazo 18 ,lakini moja iliibiwa na watu wake wa karibu miaka ya nyuma iliyopita.
" Wanaosema eti nimepata tuzo nyingi kwa kuwa nipo na wema sepetu ,halafu mwaka jana sikupata kwa kuwa nilikuwa na penny siyo kweli, kwani kila mtu ana muda wake na ana nafasi yangu katika maisha, hata wakati napata hizo tuzo mbili mwaka jana sikuwa na penny, bali nilikuwa na jokate mwegelo. ile video ya my number one nilitumia fedha zangu mwenyewe, kisha baada ya kurudi nikaenda coca cola ambao ni wadhamini wangu kuwaonyesha nilivyofanya". Alimalizia staa huyo wa single ya my number one.
Mbali na tuzo saba alizozipata , diamond alisema mpaka sasa ivi ana jumla ya tuzo 17, ambazo yeye mwenyew anasema alitakiwa kuwa nazo 18 ,lakini moja iliibiwa na watu wake wa karibu miaka ya nyuma iliyopita.