BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
yaani huyo penny mhhhh bado yupo nyumaaaaa sanaaaaa
Kumbe mashukanya kufumwa bado yapo?
Halafu mbona kama domo kalazimishwa wakati penseli kafunga macho kwa hisia?
yaani huyo penny mhhhh bado yupo nyumaaaaa sanaaaaa
Kumbe mashukanya kufumwa bado yapo?
Halafu mbona kama domo kalazimishwa wakati penseli kafunga macho kwa hisia?
BINAMU YAKO soma comment yangu vizuru mm ni SHE/female/lady
Hahahaha kwanza muulize vipi keshapata mchumba wa kuoa..maana alikua anatafuta mchumba jf hahaha chezea kukosa mvuto wewee..pesa hana sura hana halafu anataka mke...
Upumbavu mtupu. Thread ya kijinga kabisa.
Akili za watoto shule za kata na mwananyamala ndio hizo zako
ht usiogope humu ndani usidhani wote wenye avatars za kike ni mademu haha....bora ht mie
Hahahaha kwanza muulize vipi keshapata mchumba wa kuoa..maana alikua anatafuta mchumba jf hahaha chezea kukosa mvuto wewee..pesa hana sura hana halafu anataka mke...
Hahahaha kwanza muulize vipi keshapata mchumba wa kuoa..maana alikua anatafuta mchumba jf hahaha chezea kukosa mvuto wewee..pesa hana sura hana halafu anataka mke...
kwani shule za kata sio shule,,we babako mbona aliishia darasa la nne..
Mgunduziforeva me mwanamke ht ukiniita shoga t doesn't hurt Hahahaha pole weeee
Hahahahaha i know these ni faminine ways....no wonder you got four lips n bleed for several days!hahaha mke hampate wapi! mwanaume kashindikana hadi Chanika kwa waanchali na waanchoke kwa kina murra,,ndio atampata nani uku JF amuingize mkenge...Ye arudi kuoa tu uko kijijini kwao Kidodi,harusini watamchinjia nyumbu..mjini awaachie wenyewe...Pesa hana,mvuto hana,pamba hazijui nae anataka wazuli.
Jamani nimesikia Diamond na Wema wamerudiana,,Penny kapigwa chini..hii ni habari njema sana naipenda hii couple...ila ni habari mbaya kwa Kidoti.Sasa ile gari ya Penny aliyonunuliwa na Platnumz atairudisha ama ndio ataambulia angalau ako kagari .
umbea unanoga sasa picha gani?besidei ya nani?halima kimwana mdaka madanga mmoja hapa town alilala na domo pesa tamu akaamua kuwa kiwadi we mgoogle halima kimwana manywele utamuona tupige umbea sie wasiotaka umbea waende siasani afu ile show ya domo sikumbuki burundi au rwanda kulikuwa kuna besidei ya kakaye halima anahela ndeefu kumtumia kimwana ticket na marafiki zake 5 ndo hapo domo akapewa dili ikabidi domo apige show ha ha ha mjini raha halima kazi kukesha usiku mchana kulala kodi kila kitu domo na allowance juu akimpelekea watoto wakaliiiiiii siku akikosa mademu halima anaingia mzigoni.Mjini rariiiiiiiiii
Hapo na mie ndo niliposangaa ujue.........
Pensel kaweka hisia zoteeeeeeee lakin mwenzie walaaa