Hii njia nilihisi tu.....ni promo....nasikia london kauliza mashabiki ampende nani kati ya hao wawili.....dogo hamanzo kweli....ila kibongo gongo atakula ujiko sana....NIlihisi "the romantic" ni promoter wa Diamond since alipoanza kuleta yale masredi yenye takataka za wema na diamond.... Ok
The 6 inches...lol!Genuinely... I wonder what they see in the kiddo....
The 6 inches...lol!
Napinga kabisa hiyo ya kusema huyu 'mvulana' anawachezea wasichana
Yaani wao si wanajua kabisa wanachanganywa? Now why blame smone else?
The 6 inches...lol!
Napinga kabisa hiyo ya kusema huyu 'mvulana' anawachezea wasichana
Yaani wao si wanajua kabisa wanachanganywa? Now why blame smone else?
Unajua nini my dear...Nadhani huu ndo mwanzo wa kufulia.. Huyu almasi sijui kama hayo anafanya ni kweli basi kipaji kitaondoka sasa hivi....
hahahaha! 6 tu? Hio si regular size jamani....lol
Good morning Zion D...
Bidada gudafternoon.Nadhani leo ulikuwa na usk mrefu sana na ndo unaamka..All in all I hope kila kitu kipo shwariii.
Wewe AshaDii...wewe!hahahaha! 6 tu? Hio si regular size jamani....lol
Good morning Zion D...
Ndo nyota wa bongo hawa, wanalewa umaarufu mara moja na kushahau hata kilichowafikisha walipo....Unajua nini my dear...Nadhani huu ndo mwanzo wa kufulia.. Huyu almasi sijui kama hayo anafanya ni kweli basi kipaji kitaondoka sasa hivi....
hujaenda kujenga taifa leo?Amini usiamini I thought saizi ni kama saa nne: God! Si bora hata nimekusalimu, ningekua bado nafikiri mapema... No wonder njaa yauma...lol (namshukuru Maanani, kila kitu kipo shwari)