Hawa madereva i see we acha tu waangalia fikiria dereva anakomaa toka Nairobi mpaka Dar kesho tena anageuza Dar mpaka Nairobi hiyo ni kila siku lazima atumie kizizi na anasuuzia na mirungi.
Hapa mnazungumzia gari gani? Swift, Carina Ti, Starlet, Rav 4, Pickup, Scania au trekta?
Mi mmeniacha njia panda hapa!
Hiyo safari inachosha sana dar - nairobi aahhh mie naweza kulala arusha niendelee na safari kesho yake
Wewe huna sifa ya kuwa draiva wangu!
Tunazungumzia gari ya Elia ni Beetle a.k.a mgongo wa chura
Kwa hiyo T106 FWA nilikuwa nakuendeshea aje na mbona ulikuwa hulalamiki kuwa naendesha vibaya
habari yake SEVALUE!Wewe huna sifa ya kuwa draiva wangu!
habari yake SEVALUE!
Hizi Bito si ndio machine a.k.a injini iko nyuma afu huwa haitiwi maji kwenye kipoozeo? Yaani inaendeshwa kavukavu, au nakosea mpwa?
Usiku ule hata sikuisoma vizuri, haikuwa T106 TIA?
Ndo hizo hizo mpwa
Huyu Elia dereva wake kila kituo anasimama anapooza uso wake kwa maji
Ha ha haaa, umenifurahisha mkuu!
kuna watu wa kusini krb na nchumbiji ni wazuri kwa /driving school/ wanaweza kukupa technique za kumfanya driver wako apite hata vituo vinne bila kunawa. wanakufundisha jinsi ya kufunga /safe belt/ ukija kufungua tayari uko kituo cha tatu
Shida yako ni kununua gari au kubadilisha dereva? Kama gari siyo lako ni la kukodi tu mambo ya dereva yanakuhusu nini tena si ukodi gari jingine? Kwani ukinunua gari lazima umchukue na dereva wa hiyo gari?
Kuhusu vituo labda utuelimishe zaidi kuhusu umbali wa kutoka kituo kimoja mpaka kingine.Inawezekana anahitaji kwenda toilet kupunguza haja zake na hivyo lazima anawe. Sasa kuficha siri ya kuwa anaenda KUNYA anakuambia kuwa anaenda kunawa. Ulitakiwa uelewe kuwa kunawa kunatumika kama kiwakilishi tu. Au yawezekana ana tatizo la kiafya ambalo ni siri yake binafsi hivyo siyo haki kuanza kumuuliza akueleze.
The best way ni kumuuliza.