Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Kuna gari naikodi, nimeipenda ikiwezekana niinunue moja kwa moja, kwasasa naitumia ninapo ihitaji. Dereva wa hili gari amekuwa na tabia ya kunawa kila tunapofika kituoni hata kama safari bado ndefu yeye kila kituo lazima ashuke na kwenda kunawa. Nimesha safiri naye mara mbili ishu ni hiyo hiyo.
Safari ya pili kusafiri naye nilikosa raha kidogo kwani kuna wakati napenda kuunganisha vituo yaani nikifika mwisho niunganishe yeye hataki kabisa, nikimuuliza kwanini anafanya hivyo ananiambia hapendi kuunganisha. Nilifikiria nibadilishe dereva lakini ukiondoa kasoro hiyo huyu dereva ni excellent…
Gents! mshakutana na dereva wa aina hii Ladies! tushee experiences.
Safari ya pili kusafiri naye nilikosa raha kidogo kwani kuna wakati napenda kuunganisha vituo yaani nikifika mwisho niunganishe yeye hataki kabisa, nikimuuliza kwanini anafanya hivyo ananiambia hapendi kuunganisha. Nilifikiria nibadilishe dereva lakini ukiondoa kasoro hiyo huyu dereva ni excellent…
Gents! mshakutana na dereva wa aina hii Ladies! tushee experiences.