Najuwa sana madhara ya hiki chama cha Mabwepande lakini kuna wakati tuwe wakweli X Mchungaji ni heri kumchaguwa mgombea wa CCM Deo FUlikunjombe kuliko kumchaguwa mgombea wa Chadema Shibuda. Hizi ndizo aina ya siasa tunazopaswa kwenda nazo kwa sasa.Niko jimbo la Mnyika, siwezi changua Kenge yeyote hata awe na rangi gani kutoka chama cha Magwepande!
Walevi hawahitajiki kwenye thread hii, kama umelewa pombe ingia Youtube upate burudani za video.Muda wa kutaja majina hauhesabiwi kwenye ule muda anaopewa Waziri kujibu hoja.
Kashfa ya ni wewe kijana? Muda hauesabiwi na Spika alishawai kulitamka hiloWalevi hawahitajiki kwenye thread hii, kama umelewa pombe ingia Youtube upate burudani za video.
Najuwa sana madhara ya hiki chama cha Mabwepande lakini kuna wakati tuwe wakweli X Mchungaji ni heri kumchaguwa mgombea wa CCM Deo FUlikunjombe kuliko kumchaguwa mgombea wa Chadema Shibuda. Hizi ndizo aina ya siasa tunazopaswa kwenda nazo kwa sasa.
CCM wanamchukia Deo kuliko hata ya Tundu Lissu!!!! Mfano halisi wa bingwa wa kutaja watu ni yule Naibu waziri aliyeibiwa zile silaha zake za maangamizi kule morogoro pamoja ni milaptop minne na Simu zinazo jaa kiroba huwa akitaja wake zake huwa nachoka kwasababu anawataja mpaka mademu wake wa Moro waliomliza
Tusubili mwongozo wa speaker maana bado hajatowa mwongozo, ila utatolewa kabla hajasitisha shughuli za Bunge za asubuhi hii, nitasikitika sana kama speaker ataharalisha upumbavu huu uendelee. Leo 0mwigulu Nchemba kaleta wageni wageni wake Masheikh 69 kutoka jimboni kwake.I saw this live while happening lakini cha ajabu waziri wa fedha ile anaanza tu kusoma hotuba yake akaanza na utaratibu ule ule usio na tija! Yaani mtu anamshukuru mkewe, familia ah!
1.hiyo kutaja mlolongo wa wachangiaji ni kufuja muda
2.kutoa shukrani kwa mke, mume watoto vimada, wajomba , bibi babu, shangazi ni kufuja muda
3.kutaja mlolongo wa wageni waliofika bungeni ni kupoteza muda
4. Kupigana vijembe na taarabu bungeni na kupiga meza muda mrefu ni kufuja muda
Kifupi bunge letu halina discpline ya muda hata kidogo na ni kutokana na udhaifu wa kiti cha speaker ambacho nachelea kusema kipo wazi tangu alipoondolewa mzee wa speed na viwango
Ndio mliwachagua wenyeweUnatarajia nini kutoka kwa mbunge anayeshindwa kuweka tick sehemu sahihi na kura yake ikaharibika kama ilivyo tokea juzi? Kuna vihiyo wengi bungeni,ndiyo sababu ujinga,mizaha na utani wa kitoto ni mambo ya kawaida huko.
Ndio sababu yenu kuu ya kutaka Bunge lisioneshwe Live ili mpate muda hadi wa kupeana asante za muheshiwa fulani kuhudhuli kitchen party ya binti yako?Ni upuuzi kufikiri eti kupunguza muda wa kuongea bungeni ni sawa na kuongeza ufanisi, hii ni sawa na kusema kuwa hakuna haja ya kuwa na bunge kabisa maana hata huo muda kidogo wanaotumia kuongea wangeweza kuutumia kutenda kazi zaidi jambo ambalo lingekuwa athariza moja kwa moja kwenye ufanisi. Bunge la sasa limejaa masupa staa wanaofanya kila linalowezekana kuwa kurasa za mbele kuliko kufanya majukumu yao ya msingi.
Muda wa kutaja majina hauhesabiwi kwenye ule muda anaopewa Waziri kujibu hoja.