Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Mkuu Matola Achana na hili gamba Ecoli hebu anagalia avatar yake na majibu yake zinafananaZitto Kabwe yuko hewani sasa hivi kama msemaji rasmi wa kambi ya Upinzani kwa Wizara ya Fedha na ameanza moja kwa moja na point zake bila kulemba wala kumtaja yeyote yule, usiwe kama pimbi kubisha vitu ambavyo haviswi kubishaniwa, hebu declare interest zako kwanza.