Demu wangu katoa namba yangu ya simu kwa bwanake ili anifuatilie

Kwa hiyo ww ndo mwizi...umemuiba kutoka kwa bwanaake. Chakukusaidia hapo dogo mwache demu wa mwenyewe utakuja fumuliwa ohooo..
 
Za uck huu wana jamvi, nina demu wangu yaani haniamini, hapa tunagombana kishenzi, katoa namba yangu ya simu kwa bwanake anayesema wameachana ili anifuatilie eti kama nina michepuko. Yaani nimeshindwa kumsoma kabisa huyu demu na tumegombana sana.
Hivi hii ni sawa wanajamvi, nataka kumtosa, ushauri
hahahaha aisee kazi ipo tanzania hii wakati wengine tunalia hali mbaya mwingine anastory za kusadikika
 
Yaaan ametoa namba kwa bwana wake... nigga realy....
Be a man... and take action... dont be a cry boy
 
Back
Top Bottom