kweli hawa mademu wa kimarangu ni soo wanapenda sana kuomba omba. ukimtokea tu siku hiyo hiyo anakubali then kesho yake tu atasikia.....jamani kuna ndg yangu ana shida ya elfu.xxxx naomba unisaidie..crap.
Crap ni ulichoandika hapa!!
Tabia ya mtu ni ya mtu na sio ya kabila...kwahiyo acha na ulimbukeni wa ukabila.Wanawakekwa wanawake kibao wanaomba omba huko mjini wakati hata Marangu hawajahi kupasikia alafu unaleta tuhuma za kijinga hapa.
Si ungesema tu baadhi ya wadada wa siku hizi?!Eti kisa Mmarangu...muone vile!!
Mkuu huwa unauliza kwanza kabila kabla ya kutokea? Miaka 50 ya uhuru bado tuna watu wa aina yako.Kazi ipo....
Crap ni ulichoandika hapa!!
Tabia ya mtu ni ya mtu na sio ya kabila...kwahiyo acha na ulimbukeni wa ukabila.Wanawakekwa wanawake kibao wanaomba omba huko mjini wakati hata Marangu hawajahi kupasikia alafu unaleta tuhuma za kijinga hapa.
Si ungesema tu baadhi ya wadada wa siku hizi?!Eti kisa Mmarangu...muone vile!!
Hv Mmarangu ni kabila ama sehemu??
kweli hawa mademu wa kimarangu ni soo wanapenda sana kuomba omba. ukimtokea tu siku hiyo hiyo anakubali then kesho yake tu atasikia.....jamani kuna ndg yangu ana shida ya elfu.xxxx naomba unisaidie..crap.
kweli hawa mademu wa kimarangu ni soo wanapenda sana kuomba omba. Ukimtokea tu siku hiyo hiyo anakubali then kesho yake tu atasikia.....jamani kuna ndg yangu ana shida ya elfu.xxxx naomba unisaidie..crap.