Alichokisema kinatokana na threat analysis waliyofanya,sasa tatizo ni kuwa tutashambuliwaje hilo si rahisi kufahamu mpk kuwa na reliable source of information.Katika lugha nyingine pilisi jamii inatumika hapa kwa kushirikisha umma endapo utaona jambo lolote lililo ndivyo sivyo basi utoe taarifa polisi (see something say something).kwa akili ya kawaida kabisa kama Nairobi wamepigwa mara mbili basi uwezekano wa sisi kupigwa pia upo.
Kuna kitu serikali yetu itakuwa imewafanyia hawa Al-shababy' kwani tangu jana wanazungumzia hiki! Watuambie wamewafanyia nini hao El-shababy!
Alichokisema kinatokana na threat analysis waliyofanya,sasa tatizo ni kuwa tutashambuliwaje hilo si rahisi kufahamu mpk kuwa na reliable source of information.Katika lugha nyingine pilisi jamii inatumika hapa kwa kushirikisha umma endapo utaona jambo lolote lililo ndivyo sivyo basi utoe taarifa polisi (see something say something).kwa akili ya kawaida kabisa kama Nairobi wamepigwa mara mbili basi uwezekano wa sisi kupigwa pia upo.
Hapa hakuna cha A-shabaab wala nini, ilikuwa inatafutwa sababu na kisingizio cha kuzuia maandamano ya kupinga malipo ya Dowans tu. Yote hii ni kwa sababu ccm ina mkono wake katika hayo malipo. Mwenye macho haambiwi tazama!!
Hakuna kitu chochote hapo wanatengeneza mazingira ya kuzuia maandamano ya amani kupinga ulipwaji Dowans
Mbona Al-Shabaab tayari wapo Tanzania!!