Magane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 202
- 57
Wana jf leo katika taarifa ya habari ITV, DC wa Muleba ameamuru maafisa wa elimu waingie darasani wakafundishe ili kuokoa vijana wanaojiandaa kwa mitihani ya kumaliza elimu ya msingi.
Is this practically possible au ni hamaki tu. Ama kweli fahari wagombanapo ni nyasi zinazoumia. Let these two faharis, serikali na cwt wakae pamoja haraka sana wamalize tofauti zao ili walimu warudi darasani wakafundishe watoto wetu.
Athari ya mgomo wa walimu kwa watoto wetu ni ya muda mrefu na pengine athari hizi ni zaidi ya migomo mingine ya wafanyakazi. Elimu ni ufunguo wa maisha na ni haki ya msingi kwa watoto wetu.
Kwa hiyo tunaiomba serikali yetu urudi katika meza na CWT waweke pembeni politics. Ni imani yetu wakijadiliana in good faith kutoka kila upande utapatika muafaka.
Naamini malalamiko ya walimu ni ya msingi na yamekuwepo kwa muda mrefu bila kupatiwa ufumbuzi wa kudumu.
Is this practically possible au ni hamaki tu. Ama kweli fahari wagombanapo ni nyasi zinazoumia. Let these two faharis, serikali na cwt wakae pamoja haraka sana wamalize tofauti zao ili walimu warudi darasani wakafundishe watoto wetu.
Athari ya mgomo wa walimu kwa watoto wetu ni ya muda mrefu na pengine athari hizi ni zaidi ya migomo mingine ya wafanyakazi. Elimu ni ufunguo wa maisha na ni haki ya msingi kwa watoto wetu.
Kwa hiyo tunaiomba serikali yetu urudi katika meza na CWT waweke pembeni politics. Ni imani yetu wakijadiliana in good faith kutoka kila upande utapatika muafaka.
Naamini malalamiko ya walimu ni ya msingi na yamekuwepo kwa muda mrefu bila kupatiwa ufumbuzi wa kudumu.