nyanungu magena
Member
- Nov 27, 2010
- 68
- 4
ccm pamoja na mkuu wa wilaya wote wana mahitaji ya kuona leo na si vingine kumbuka sasa hivi kuna matatizo ya wanafunzi wa chuo kikuu wamepata mikopo na wengine wengi wao hawjapa na serikali inadai haina hela je za kutoa rushwa zinapatikana wapi ila za elimu hazipo dah vasco dagama yupo usa anakula gud time shiiiiiiit kabisa mkweleeeeeeeee.