chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
sasa atubu la sivyo atakufa baada ya uchaguzi
Kimsingi hali ya ccm hapa Igunga ni mahututi,hata baada ya kuleta lundo la viongozi bado umma wa Igunga umeonyesha dhahiri kuwa wapo tayari kwa mabadiliko
pamoja na vitisho kutoka kwa kundi haramu la green guard,ambalo Nape ameliruhusu kushambulia watu bado wanaIgunga wapo tayari kwa ukombozi.
Katiba ya nchi haimkatazi mkuu wa wilaya kushabikia na hata kuwa mwanachama wa chama chochote cha kisiasa. Tatizo wengi wenu magwanda ni wavivu wa kusoma.
Tangu sakata la kukamatwa kwa DC wa Igunga akihalifu sheria chama ca CCM kimekuwa kikifanya propaganda chafu sana,ya UDINI hapa Igunga mjini,jana wilayani Uyui Dc huyu alitoa laki moja hadharani na kulia machozi,huku akiwahamasisha waislama kuandamana kuipinga chadema et alivuliwa HIJAB.Huu ni mkakati mchafu wa ccm,na ni uwendawazimu,kimsingi chadema hatukumkamata huyu DC kwa dini yake,au rangi ya chama chake.tulimkamata kwa kuwa alihalifu sheria,na nguvu iliyotumika kumkamata inakubalika kisheria.
Dc huyu anaendela kuifanyia ccm kampeni,na usiku wa jana alikuwa n a wakinamama(wanawake)kwenye jengo la serikali anakoishi,anatumia kodi za wananchi kuifanyia ccm kampeni.
Tangu sakata la kukamatwa kwa DC wa Igunga akihalifu sheria chama ca CCM kimekuwa kikifanya propaganda chafu sana,ya UDINI hapa Igunga mjini,jana wilayani Uyui Dc huyu alitoa laki moja hadharani na kulia machozi,huku akiwahamasisha waislama kuandamana kuipinga chadema et alivuliwa HIJAB.Huu ni mkakati mchafu wa ccm,na ni uwendawazimu,kimsingi chadema hatukumkamata huyu DC kwa dini yake,au rangi ya chama chake.tulimkamata kwa kuwa alihalifu sheria,na nguvu iliyotumika kumkamata inakubalika kisheria.
Dc huyu anaendela kuifanyia ccm kampeni,na usiku wa jana alikuwa n a wakinamama(wanawake)kwenye jengo la serikali anakoishi,anatumia kodi za wananchi kuifanyia ccm kampeni.
Hawa ccm ni wahuni ngoja tuwaoneshe tarehe mbili kama ilivyo kuwa chadema wapiga kura wataenda kwa mfumo wa mbili mbili kashinde ashinde kafumu afumuliwe
so cheap! Yaani CCM wanavyowatumia hawa ndugu zetu hata condom haifai...! na kama kweli waislam wakiamua kuichagua CCM Igunga kwa sababu ya hili la HIJAB pamoja na kutapeliwa kwenye mahakama ya kadhi basi nitawaona kweli ni majuha yaliyoshindikana....kinachonichanganya zaidi ni waislam kuwatapeli waislam wenzao lakini at the end of the day utasikia muovu ni kanisa/chadema/wakriistu!!Tangu sakata la kukamatwa kwa DC wa Igunga akihalifu sheria chama ca CCM kimekuwa kikifanya propaganda chafu sana,ya UDINI hapa Igunga mjini,jana wilayani Uyui Dc huyu alitoa laki moja hadharani na kulia machozi,huku akiwahamasisha waislama kuandamana kuipinga chadema et alivuliwa HIJAB.Huu ni mkakati mchafu wa ccm,na ni uwendawazimu,kimsingi chadema hatukumkamata huyu DC kwa dini yake,au rangi ya chama chake.tulimkamata kwa kuwa alihalifu sheria,na nguvu iliyotumika kumkamata inakubalika kisheria.
Dc huyu anaendela kuifanyia ccm kampeni,na usiku wa jana alikuwa n a wakinamama(wanawake)kwenye jengo la serikali anakoishi,anatumia kodi za wananchi kuifanyia ccm kampeni.
Siungi mkono hoja kuchoma watu kisha wafe eti sababu DC anaifanyia kampeni CCM, nielewacho mimi CCM maji yamefika shingoni sasa wanajitahidi kwa udi na uvumba kuliokoa jahazi ambalo linaelekea kuzama.Kamanda hapo kwenye red, kulalamika zama hizi hakutawasaidia kitu chechote, mungeangalia uwezekano wa kuchukua hatua kwa mfano kulipiga kiberiti hilo jengo, otherwise mtakuwa kama mnampgia mbuzi gitaa. Kama mmefikia kuweza kupata habari kama hii ya kuwa na wakina mama kwenye jengo hilo, mnashindwa vipi kwenda mbele zaidi na kuwapiga moto ndani ya hilo jengo. Sijui kama umenipata? mnatakiwa muanze kufikiri kwa jinsi hii sasa na sio kulalama tu kila siku. Tena kwa kuongezea na tukiwa wakweli wa nafsi zetu tukiacha unafaiki ni kama mnalazimwisha kufikiri kwa jinsi hii ingwa sina hakika kama na nyie munaliona hilo.
Yote hiyo ni kuhakukisha kuwa wanaendelea kujijenga kwa kuwa na bunge la watu wa ndio mzee. Hatutaki kabisa changamoto. Untakiwa uwepo mfumo wa watu kuchagua mtu kutokana na uwezo wake sio kigezo cha chama. Lakini watambue kuwa nguvu wanayotumia ni kubwa mno mpaka twashituka kuwa kunani pale bungeni. CDM jikiteni kwenye elimu ya Uraia kwa kuwa na vipindi TV na maredioni mkiwaeleza serikali ina wajibu gani kwa wanachi na wategemee nini toka kwa serikali ama sivyo tutaendelea na sera ya kujifunga mkanda huku wachache wanatumbua life.
si alidai kabakwa labda anataka tena.
Katiba ya nchi haimkatazi mkuu wa wilaya kushabikia na hata kuwa mwanachama wa chama chochote cha kisiasa. Tatizo wengi wenu magwanda ni wavivu wa kusoma.
kama kweli wewe si mvivu wa kusoma ungeshajua kuwa watumishi wa serikali hawaruhusiwi kuwa washabiki wa chama cha siasa. Na wanapofanya kazi zao wanapaswa kufuata sheria si potical inclinations zao. Au wewe ni mvivu wa kuelewa????
Hakuna DC ndani ya katiba usituletee upuuzi wee Mwita25
Mkuu nadhani unazungumzia katiba ya saccos ya mtaani kwenu na si katiba ya nchi! Katiba ya nchi inawakataza watendaji wote wa serikali kujishughulisha na shughuli za vyama vya siasa. Nadhani ni heri hao wavivu kufikiri kuliko wewe unayefikiri kwa kutumia masaburi!