Salamu wote wanaJF,
Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nina tatizo la umbile langu yani ni mwembamba ninavaa size 8. Kwa kweli huwa nikijiangalia hata sipendezewi na umbo langu, nimekuwa nikila ovyo ili ninenepe lakini wapi. Nimekula mpaka cerelac na uji vya mtoto lakini wapi.
Sasa nimesikia kuna dawa za kuongeza unene. Nahitaji ushauri wenu kwa hili tafadhali. Kuna yeyote aliyewahi kunywa hizo dawa? Na je, zina side effects gani? Au kama kuna njia mbadala naomba ushauri, maana hata nikivaa nguo sipendezi.
Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nina tatizo la umbile langu yani ni mwembamba ninavaa size 8. Kwa kweli huwa nikijiangalia hata sipendezewi na umbo langu, nimekuwa nikila ovyo ili ninenepe lakini wapi. Nimekula mpaka cerelac na uji vya mtoto lakini wapi.
Sasa nimesikia kuna dawa za kuongeza unene. Nahitaji ushauri wenu kwa hili tafadhali. Kuna yeyote aliyewahi kunywa hizo dawa? Na je, zina side effects gani? Au kama kuna njia mbadala naomba ushauri, maana hata nikivaa nguo sipendezi.