Ni serkali ya wezi
Hali ilivyo sasahivi hakuna cha kuzuia
Tena maandamano tayari milipuko ya
hamasa kila kona ya nchi inarindima
hakuna miezi miwili Tena utasikia tu.
Democrasia tuliyo nayo TZ uwezi fananisha na nchi za North africa au za kiarabu, mabadiliko TZ yataletwa kwa kutumia Sanduku la kura
Tatizo lililopo ni kuwa hakuna chama cha upinzani kinachokubalika na kuamininiwa na wananchi wa Tanzania, either udniniudini au ukabila na wanamaamuzi ya kukurupuka,
chama kama cha chadema unategemea kitaipeleka tanzania wapi? mbona viongozi wao ni vichekesho ?