Dawa ya kuwang'oa ccm ni maandamano kama tunisia

kweli kabisa kwani "a coward die many times before there death,but a valiant one never taste death but once".........:A S-fire1:
 
Hi!

The starting point will always be there-I guess the strike of Workers' Reunion on the increase of Umeme Price might be. Civil sevants in Tunisia have played a great role in liberation of their country. We are all touched of what is going on in our beloved country-we cant tolorate any more. I submit
 
Wananchi wengi sasa wamekata tamaa ya maisha kwani gharama za maisha zinazidi kuongezeka kila uchao. Wana wa nchi wengi wanashindia mlo mmoja, tena wa kubangaiza, akina dada wa Kitanzania wanazidi kutapakaa mitaani wakijiuza ili kujikimu na wala sio kwa sababu ni malaya. Serikali hii dhalimu inajifanya haioni huku ikiendelea kuwakumbatia mafisadi wachache walioifilisi nchi na kuifikisha hapa ilipo. Kwa vyovyote vile serikali hii haiwezi kufanya chochote kunusuru maisha ya watanzania. Kazi iliyobaki ni moja tu: Ni lazima watanzania tujikomboe wenyewe kwa kufanya kile tunachoona ni sahihi. Wenzetu nchi nyingine wameweza, kwa nini sisi tusiweze? Tafakari, chukua hatua sasa.
 
Hali ilivyo sasahivi hakuna cha kuzuia
Tena maandamano tayari milipuko ya
hamasa kila kona ya nchi inarindima
hakuna miezi miwili Tena utasikia tu.

Kipre tchetche hakika umeronga.

Kama nilivosema hapo juu. CCM tayari wameshajiundia mazingira ya KUNG'OLEWA AT ANY COST.
Kuna hot ISSUES zinazowatesa CCM kwa sasa kama:
  1. KUBARIKI MALIPO YA DOWANS
  2. MAUAJI YA POLISI ARUSHA
  3. KUBARIKI KUPANDA KWA BEI YA UMEME
  4. UCHAKACHUAJI WA MATOKEO YA URAIS,2010 n.K.
Ni dhahiri kabisa kuwa haya mambo ni msumari wa moto kwa CCM. Kwanza kabisa ndani ya CCM wamesha jichanganya na hawaelewani wao kwa wao. Kila mtu anaropoka kivyake. Rais KIWETE(siyo Kikwete) maana kiwete siku zote ni mtegemea misaada na ombaomba. Ndivyo alivo Rais wa CCM. Inavoonekana Kiwete hana hata maamuzi ndani ya CCM. Yupoyupo tu anapelekwa kama ndege isiyokuwa na rubani! Hii si dalili nzuri ya Chama Makini kilichoshika Dola!!!

Nimewahi kusoma makala moja kwenye gazeti fulani ikisema KIWETE ameiweka nchi kwenye AUTO PILOT. Amelala usingizi huko ndege iliyokuwa ikisemwa na MKAPA kuwa inapaa iko anga za juu kwenye auto pilot! Inavoonekana KIWETE kama PILOT amewaachia wahudumu(STEWARDNESS)kuendesha hiyo ndege ya Serikali ya CCM. Bila shaka AJALI YA ANGUKO LAKE HAKUNA ATAKAYEPONA!!!

Tumesikia wahudumu kina MAKAMBA,TAMBWE HIZA,JOHN CHILIGATI, VUAI NAHODHA,IGP MWEMA na wengineo wakiachiwa kujaribu kuendesha ndege hii ya CCM iliyoko kwenye Auto pilot. Tumewasikia UVCCM wakibwabwaja eti wanawapinga Baba thao na mama thao wasilipe 94B/Tshs. kwa DOWANS. Mimi niliwashangaa kwa kweeri! Kama SItta na Mwakyembe wamepiga kelele mpaka POVU likawatoka lakini kwenye CC wakagwaya,UVCCM ni nani muwazuie Baba zenu?????

UVCCM subirini pigo la mwisho la shoka la UMSLOPAAGAS linaloitwa INKOSIKAZI. Hapo ndiyo utakuwa mwisho wa CCM.
Natoa ushauri wa bure kwa UVCCM wale wanao ona uchungu wa malipo ya DOWANS pamoja na Waheshimiwa Sitta na Mwakyembe waanze KUJITOA MAPEMA sana na kujiunga na KAMBI YA UPINZANI. The choice is theirs, either waende CHADEMA,NCCR-Mageuzi,TLP au chama chochote chenye NIA NJEMA NA NCHI HII!

Wasalaam.
 
Kwa hiyo hapa kwetu Tanzania cheche za kuwasha moto ziko kibao kama nilivyo ainisha huko mwanzo. Tatizo la Watanzania tulio wengi TUMEJAA UOGA (COWARDICE)WA KUSHINDWA KUTHUBUTU KUCHUKUA MAAMUZI MAZITO DHIDI YA SERIKALI KWA AJILI YA MSTAKABALI WA TAIFA LETU. Uoga huu ndiyo unaotutafuna.

..Anza wewe makoye2009. period
 
Wewe Bull (Bulldozer) hivi unazungumza vitu gani? Hivi wewe unaelewa maana ya demokrasia? Hivi unadhani Tanzania kuna Demokrasia?
Hivi unajua kuwa hata Katiba ya Tanzania ni ya mizengwe na is ya kumlinda Mtanzania na kwamba katiba hiyo hiyo ni ile iliyotengenezwa na muingereza na kufanyiwa viraka na kila Rais anayekuja kutokana na matakwa yake? Hivi unajua kuwa katiba hiyo hiyo si ya mtanzania maana mtanzania hakushirikishwa kabisa kabisa katika angalau kutoa mawazo yao achiliambali kuulizwa kama waliikubali, na ndiyo maana hawataki kufanya katiba mpya itakayowashirikisha watanzania.Demokrasia iko wapi??? Wewe endelea kulala tu na kuonda njozi nzuri!!!!!


Democrasia tuliyo nayo TZ uwezi fananisha na nchi za North africa au za kiarabu, mabadiliko TZ yataletwa kwa kutumia Sanduku la kura

Tatizo lililopo ni kuwa hakuna chama cha upinzani kinachokubalika na kuamininiwa na wananchi wa Tanzania, either udniniudini au ukabila na wanamaamuzi ya kukurupuka,

chama kama cha chadema unategemea kitaipeleka tanzania wapi? mbona viongozi wao ni vichekesho ?
 
Back
Top Bottom