Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Hakuna kitu kama hasira bila sababu. Sababu ipo mkuu, ila huijui. Na vitu vitakavyo kusaidia kujua sababu ni hivyo hapo in bold. ukisha jua hasira inapanda wakati gani itakua rahisi kupunguza exposure na vitu hivyo, au kujifunza namna gani unaweza kuziwia hasira kupanda ikiwa unakutana na mazingira hayo.mkuu inshort nagombana na mtu yule atakaye nihusisha kwa njia 1 au nyingine kwenye mazungumzo.
Mfan nikuwa kwenye daladala kalibia watu wote waliokuwa wanaongea na redio pia ilikuwa imefunguliwa iliniboa sana nilishikwa na hasira na kama ningekuwa na uwezo ningeamuru redio izimwe na watu wote wawe kimya balaa na hasira zote zilimdondokea konda wakati akidai nauli mzigo wote wa hasira ulimwishia yeye.
Tatizo hasira sijajua zinatoka wapi maana nimekuwa na hasira pasipo sababu wala sijagombana na mtu.
Ila nikikaa na mtu ndani ya dk 1 lazima tutakwaruzana huwa najisonya pasipo hata sababu naweza nikaa nikawa nimeduwaa kama kunakitu nawaza/fikiria na ugomvi huanza mtu yoyote atokee na kunisemesha au kunidistable kwa namna moja au nyingine balaa huanzia hapo.
Kuna councelor mzuri sana humu JF, anaweza kukusaidia free of charge. Ukiwa interested nitakupa ID yake via PM.