LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Wakuu naomba kuuliza kama kuna dawa yoyote ya hasira.
Kwani sasa hivi nimekuwa na hasira ambazo nashindwa hata kujua chanzo chake ni nin?
Kwani nimekuwa sitaki au kusikia mtu yeyote akiongea mbele yangu au kunisemesha.Mpaka niandikapo post hii nishagombana na watu zaidi ya 7 kwenye simu na wa usoso kwa uso hawahesabiki.
Naomba msaada wenu wataalam hali hii huweza sababishwa na nin na tiba yake ni nin??
Kwani sasa hivi nimekuwa na hasira ambazo nashindwa hata kujua chanzo chake ni nin?
Kwani nimekuwa sitaki au kusikia mtu yeyote akiongea mbele yangu au kunisemesha.Mpaka niandikapo post hii nishagombana na watu zaidi ya 7 kwenye simu na wa usoso kwa uso hawahesabiki.
Naomba msaada wenu wataalam hali hii huweza sababishwa na nin na tiba yake ni nin??