mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,411
- 7,016
Heri ya siku njema ya Jumamosi.
Mimi nina changamoto ya hasira kali sana. Hii inafanya niwe mtu wa kujiangalia sana. Mpaka nywele za kichwa zinasimama nikichukia, halafu nakuwa natisha mno... namuogopesha mno mpenzi wangu.
Wanasaikoloji nisaidieni nahisi nitapasua kichwa cha huyu manzi au nitamtoboa macho au whatever... naandika muda huu huku nina hasira sana.
Pleaseeeee sitaki nimkate kichwa. Sitaki nimuone tu nimeamua hivyo. Sitaki nimuone tena nimechukia mno... hajafanya chochote ila basi tu nina hasira mno pleaseee naomba nisiendelee
Mimi nina changamoto ya hasira kali sana. Hii inafanya niwe mtu wa kujiangalia sana. Mpaka nywele za kichwa zinasimama nikichukia, halafu nakuwa natisha mno... namuogopesha mno mpenzi wangu.
Wanasaikoloji nisaidieni nahisi nitapasua kichwa cha huyu manzi au nitamtoboa macho au whatever... naandika muda huu huku nina hasira sana.
Pleaseeeee sitaki nimkate kichwa. Sitaki nimuone tu nimeamua hivyo. Sitaki nimuone tena nimechukia mno... hajafanya chochote ila basi tu nina hasira mno pleaseee naomba nisiendelee