bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,435
sijui nini kilitokea mpaka mwaibula akazimwa? gafla tu ikaja sumatra isiyo na meno toka mwaibula amekuja na innovation ya kuchora magari mstari ili yasikatishe ruti na akaja na ruti mpya kibao na akaondolewa ikaundwa sumatra mpaka leo hakuna ubunifu wowote uliofanyika kusaidi kero za usafiri ingawa challenge zimekua zikiongezeka?? kwa nn huyu jamaa hakupewa nafasi huko sumatra is beyond me!!