Daraja la Mbutu kujengwa na wakandarasi wazalendo!

Mkuu Maranya siyo mimi ninayekuambia kwamba ni makampuni 13 angalia mtoa uzi mesema mangapi na ndio rejea yangu.

Mkuu naijua vizuri sekta ya ujenzi. Wakandarasi wetu wengi huwa hawako serious. japo na wachina siyo wazuri kihivyo lakini wa kwetu huwa wanajikosesha fursa nyingi sana sababu ya ubabaishaji. Pamoja na hayo huo ni mwanzo mzuri na kama watautekeleza huo mradi kwa ufanisi sioni ni kwa nini wasipewe miradi mingine. wazalendo wana advantage nyingi mno katika kushindana na wageni.

Kimbunga,
Nimekusoma ''kamanda'' ni kweli sio wewe unayeniambia, unamrejea mtoa hoja.

Kweli makandarasi hawa wazawa waonyeshe mfano na wajitengenezee cv ili waendelee kuaminika na hivyo kuwafungulia mlango na wazawa wengine kwani nchi yetu itafaidika sana kuliko kuwapa wachina ambao kazi zao siku hizi nyingi ni sub-standard!
 
kwa upande mwingine udhaifu katika sekta ya ujenzi umechangiwa sana na uzembe wetu wenyewe. Mfano ni kwa responsible autorities ku-allow incomptency, ku-compromise na ku-allow mediocre people kuwa involved kwenye sekta.

Kwanini Wa-China watupe sub-standard products......jibu lake ni hilo hapo juu

Hivyo basi nitafurahi sana hawa Wazawa wetu watakapo-prove kuwa uwezo tunao....na miongoni mwetu tuondoe mediocrity...........
 
Ikishamuuliza ndio iweje? utauharakisha ujenzi?

Miaka 24 Nyerere limemshinda, miaka 6 JMK barabara za lami nyingi kuliko za awamu zote ukichanganya pamoja. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Ribosome naomba nikuelimishe kidogo, Enzi za Nyerere Mto Mbutu ulikuwa na daraja safi kabisa lililojengwa na Nzega District council ya wakati huo ambapo Igunga ilikuwa tarafa yake, kadri siku zilivyokuwa zikienda barabara ya Igunga-Nzega-Shinyanga ikawa inazidi kuwa mbovu na hapo ndipo magari makubwa makubwa yakaamua kutumia barabara ya shortcut wakati wa Kiangazi kwa kuingilia Igunga, Mbutu. ukenyenge ...na kutokea Shinyanga, hapo ndipo daraja lilipopatwa na masahibu yote tunayoyaona mpaka leo, Na labda nikupe recent news ni kuwa mpaka Jumapili iliyopita (22/04/2012) hakuna kinachoendelea cha Magufuli, Kafumu wala cha huyo JK wenu zaidi ya braaaaa braaaa nyingi kama kawaida yao, hivi sasa hata barabara ya Tabora - Nzega nayo nasikia imesimama kwa ukata wa fedha wa serikali ya hawa matapeli, mafisadi wakubwa, Wachina waliopewa tender ile wamefukuza wafanyakazi karibu wote kwani hawana cha kuwalipa, unazungumzia barabara za Lami kila mahali sawa lakini pia hebu jaribu kututendea haki utuelezee na kiwango chake kama ni sawa na pesa iliyoliwa, ukiweza pita km pale Mlimani Sekenke utuletee picha za mahandaki yanayosababisha ajali na kuuwa ndugu zetu,kwa ujumla ukipita kooote kwenye hizo barabara zenu mnazozisifia utakuta akina mama ntilie ma masufuria yao wakipika lami (TANROADS) Hii yote ni kwaa ajili ya 10% iliyojengeka kwenye chama na serikali yao

Anyway tusubiri 2015 kwani sio mbali sana ila naamini kwao CCM wanajua ni mbali saaaaaana.
 
Watanzania tuamke huo ni uongo mtupu. Kwanini ninasema hivyo.Moja, daraja la mbutu haiko kwenye bajeti ya 2011/2012 labda uniambie contractor amekuwa awarded then ataanza next year. Pili, Bajeti ya wizara ya mwaka huu wa fedha ni 1.4 trillioni na mpaka sasa wizara imepata 300bilion kutoka hazina, wizara inadaiwa 400 billioni na macontractor kwa kazi walizofanya huko nyuma wa hiyo bado wizara inadaiwa 100 billioni soma report ya CAG, bajeti ya 1.4 trillion wizara haijapata kwa vile hela hakuna, ninakuhakikishia hakuna contractor wa kibogo anaweza kufanya maana it is presstressed design na watu wanaoweza kufanya presstressed tupo wachache hapa tanzania na even how to make presstressed girder mashine hakuna, na kama zipo ziko chache na low capacity, nne, wanajua wakimpa contractor kutoka nje na hawana hela wanajua itakuwa issue kwenye malipo ndio maana wanampa mswahili maana sisi waswahili tukipigwa mkwara tunafyata wazungu waki raised invoice tu ukichelewa kupipa wanadai intrest wabongo tunaogopa kudai intrest tukiofia kwamba next time tutakosa kazi, tano wanafanya hivyo kwa vile wanajua uchaguzi wa Segerea unakaribia kwa hiyo itakuwa ni issue waje kusema mbona daraja la mbutu tuli haidi na tumejenga
 
Watanzania tuamke huo ni uongo mtupu. Kwanini ninasema hivyo.Moja, daraja la mbutu haiko kwenye bajeti ya 2011/2012 labda uniambie contractor amekuwa awarded then ataanza next year. Pili, Bajeti ya wizara ya mwaka huu wa fedha ni 1.4 trillioni na mpaka sasa wizara imepata 300bilion kutoka hazina, wizara inadaiwa 400 billioni na macontractor kwa kazi walizofanya huko nyuma wa hiyo bado wizara inadaiwa 100 billioni soma report ya CAG, bajeti ya 1.4 trillion wizara haijapata kwa vile hela hakuna, ninakuhakikishia hakuna contractor wa kibogo anaweza kufanya maana it is presstressed design na watu wanaoweza kufanya presstressed tupo wachache hapa tanzania na even how to make presstressed girder mashine hakuna, na kama zipo ziko chache na low capacity, nne, wanajua wakimpa contractor kutoka nje na hawana hela wanajua itakuwa issue kwenye malipo ndio maana wanampa mswahili maana sisi waswahili tukipigwa mkwara tunafyata wazungu waki raised invoice tu ukichelewa kupipa wanadai intrest wabongo tunaogopa kudai intrest tukiofia kwamba next time tutakosa kazi, tano wanafanya hivyo kwa vile wanajua uchaguzi wa Segerea unakaribia kwa hiyo itakuwa ni issue waje kusema mbona daraja la mbutu tuli haidi na tumejenga


Mkuu umeelezea kama vile uko kwenye vichwa vyao.....with CAG evidence, kwa kuongezea hao macontractor wa kiswahili waliitwa na kufanyiwa press kubwa ya nguvu ili kujaribu kuokoa jahazi la kule Arumeru wakati wa uchaguzi lakini mungu hakuwa nao, pamoja na kudanganya kuwa watajenga daraja lakini ukweli ni kuwa Igunga Kafumu hakupita kihalali bali aliiba kura, ngoja tuone 2015 kwani njia ya mwongo ni fupi, Wametuongopea kwenye Pamba yetu weeee kumbe wanaotuibia ni wafanyakazi na waziri wao Magembe wakishirikiana na wafanyabiashara haramu, Wabunge wetu wamewagundua lakini hawataki kuchukua hatua wala kujitoa wakiogopa kuja kusota kitaani
 

Attachments

  • Photo0024.jpg
    Photo0024.jpg
    187.4 KB · Views: 46
Back
Top Bottom