Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Katika kuonyesha kuwa serikali ya JK inafanya kweli, leo asubuhi serikali imeingia mkataba na makampuni ya ukandarasi ya kizalendo 13 kutekeleza ujenzi wa daraja la Mbutu huko Igunga.
Uwekaji sahihi kati ya Tanroads na wawakilishi wa wakandarasi hao ulishuhudiwa na Naibu Katinbu Mkuu, Injinia Ndunguru.
Naipongeza serikali kwa hili la kusikia kilio cha wazalendo kupata kazi kubwa ambazo zilihodhiwa na wageni.
Na nyie wazalendo sasa mkaze buti.
Uwekaji sahihi kati ya Tanroads na wawakilishi wa wakandarasi hao ulishuhudiwa na Naibu Katinbu Mkuu, Injinia Ndunguru.
Naipongeza serikali kwa hili la kusikia kilio cha wazalendo kupata kazi kubwa ambazo zilihodhiwa na wageni.
Na nyie wazalendo sasa mkaze buti.