Daraja la J.P.Magufuli (Kigongo-Busisi) ni la 1 kwa urefu katika Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kati. Litaondoa tabu ya wananchi kutumia dakika 120 (masaa mawili) kusubiri kivuko hadi DAKIKA 4 tu kuvuka darajani ili maisha ya uzalishaji kiuchumi na kijamaa yaendelee.
Tunamshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendeleza miradi yote kabambe iliyoasisiwa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ambaye wiki hii inafika miaka 3 tangu Mwenyezi Mungu amemuita. RIP uncle JPM.
Asante sana mhe. Rais wetu Mama Samia kwa malengo yako ya Kazi Iendelee. Kwamba mazuri yote ya Awamu Zote Serikali ya Awamu ya 6 itayaendeleza na kuongeza mengi mazuri zaidi. Wakati unaingia madarakani ujenzi wa daraja ulikuwa 25% na sasa umefika 85% na Disemba 2024 daraja linakamilika. Asante sana. @samia_suluhu_hassan.
Tunamshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendeleza miradi yote kabambe iliyoasisiwa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ambaye wiki hii inafika miaka 3 tangu Mwenyezi Mungu amemuita. RIP uncle JPM.
Asante sana mhe. Rais wetu Mama Samia kwa malengo yako ya Kazi Iendelee. Kwamba mazuri yote ya Awamu Zote Serikali ya Awamu ya 6 itayaendeleza na kuongeza mengi mazuri zaidi. Wakati unaingia madarakani ujenzi wa daraja ulikuwa 25% na sasa umefika 85% na Disemba 2024 daraja linakamilika. Asante sana. @samia_suluhu_hassan.