Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
ni kampuni ya usafirishaji wa abiria mikoani, imeshakamilisha ofisizake pale ubungo sheli, mahali zilipokuwa afisi za allys bus. kwa mujibu wa tangazo lao wanakwenda karibu destination zote nchini isipokuwa chache sana plus nairobi na kampala to mention the few. habari nilizozipata toka kwa mfanyakazi wa kampuni hiyo ni kuwa karibuni zitaingia basi 50 kwa kuanzia....
My take: nahisi kuwa hii ndio kampuni inayohusishwa na mkuu wa kaya na hujuma dhidi ya kampuni kongwe na inayolipa kodi, dar express.
source: mimi mwenyewe, mphamvu letsholonyane!
My take: nahisi kuwa hii ndio kampuni inayohusishwa na mkuu wa kaya na hujuma dhidi ya kampuni kongwe na inayolipa kodi, dar express.
source: mimi mwenyewe, mphamvu letsholonyane!