JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,014
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka jiji la Dar es Salaam. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Dar Es Salaam una jumla ya majimbo ya uchaguzi 10. Wagombea Walioshinda kwenye hayo majimbo ambayo ni;
Ukonga: Waitara Mwita(CHADEMA)
Ilala: Mussa Azzan Zungu (CCM)
Segerea: Bonna Mosse Kaluwa (CCM)
Temeke: Abdallah Mtolea (CUF) 103,231
Kigamboni: Faustine Ndugulile (CCM)
Mbagala: Issa Mangungu (CCM)
Kawe: Halima Mdee (CHADEMA)
Ubungo: Saed Kubenea (CHADEMA)
Kibamba: John John Mnyika (CHADEMA)
Kinondoni: Maulid Mtulia (CUF)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka jiji la Dar es Salaam. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Dar Es Salaam una jumla ya majimbo ya uchaguzi 10. Wagombea Walioshinda kwenye hayo majimbo ambayo ni;
Ukonga: Waitara Mwita(CHADEMA)
Ilala: Mussa Azzan Zungu (CCM)
Segerea: Bonna Mosse Kaluwa (CCM)
Temeke: Abdallah Mtolea (CUF) 103,231
Kigamboni: Faustine Ndugulile (CCM)
Mbagala: Issa Mangungu (CCM)
Kawe: Halima Mdee (CHADEMA)
Ubungo: Saed Kubenea (CHADEMA)
Kibamba: John John Mnyika (CHADEMA)
Kinondoni: Maulid Mtulia (CUF)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.