Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,954
- 3,011
DIT the Best Institution nilikuwa Training hapo hawa jamaa hawababaiashi Vitendo zaid sio kule UDSM Theory's kibao wakat mtu unasoma Engineering
Subir waje wataaramNdugu wana JF nimechaguliwa diploma ya renewable energy technology DIT, je naweza kubadilisha nikishafika chuoni maana malengo yangu yalikuwa kusoma Civil Engineering
Soma hiyo hiyo imekaa vizuri na ni miongoni mwa fani zenye soko na zinazohitajika zaidi.Ndugu wana JF nimechaguliwa diploma ya renewable energy technology DIT, je naweza kubadilisha nikishafika chuoni maana malengo yangu yalikuwa kusoma Civil Engineering
Hivi apo kuna evening class kwa watu wa diplomaDIT the Best Institution nilikuwa Training hapo hawa jamaa hawababaiashi Vitendo zaid sio kule UDSM Theory's kibao wakat mtu unasoma Engineering
acha kupotosha watu wewe boya, aliekuambia prospectus haipo nani? acha kufikiri kwa kutumia bluetoothNimeingia kwenye website yao. Very, very shallow, inazidiwa hata na website za baadhi ya Vocational Training Centers! Hakuna cha prospectus wala nini, hiyo Prospectus itakuwa shughli kuipata!
sahauHivi apo kuna evening class kwa watu wa diploma
Una maana gani mkuu?mtu ukifeli fom4, unakuwa na akili sana. Eti ni kweli jamani?
Wapi Dr. Saa nane a.k.a mzee wa special electric machine? wapi Mushi? ukimaliza Bachelor yako ya umeme Pale DIT salama basi hakuna chuo chochote duniani kitakachokushinda. VIVA DIT
Special machine siku hizi anafundisha Dr.Karugaba ambaye ni HoDWapi Dr. Saa nane a.k.a mzee wa special electric machine? wapi Mushi? ukimaliza Bachelor yako ya umeme Pale DIT salama basi hakuna chuo chochote duniani kitakachokushinda. VIVA DIT