sir inyunya
Senior Member
- Dec 21, 2016
- 145
- 62
Nipo kitaa tu cna mishe wala ivo nina diploma ya building and civil engineering ivo naombeni msaada wadau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hmmmm!acha utani!Nipo kitaa tu cna mishe wala ivo nina diploma ya building and civil engineering ivo naombeni msaada wadau
sijaelewaa hii naombaa nipate maelezoo mazur nahitajii hiiKuhusu direct entry pale DIT kama mtu ana vigezo vyote yaani Credit 3 za Math,Physics na Chemistry halafu na credits za masomo yanayobaki anazo atakuwa government sponsored au kigezo hicho ni kwa anayechaguliwa kutoka shuleni tu?
mie nilikuwa natulia fish pond pale muda wote utankuta paleCTO ulivyo zitaja izo sehemu umenifurahisha sana, kijiwe changu cha kusomea ilikua ni C.B.E na I.F.M ah ah ah! Ukinikosa huko nipo room block v wapi mzee Liondo na Mkilamwene na Dr. Saa nane walikua wanafanya wanafunzi hatulali
Hujui unachoongeaNimeingia kwenye website yao. Very, very shallow, inazidiwa hata na website za baadhi ya Vocational Training Centers! Hakuna cha prospectus wala nini, hiyo Prospectus itakuwa shughli kuipata!
Mkuu naomba nikurudishe kwenye huu uzi wa nyuma kidogo. kuna mambo yanahitaji kuyajua hasa kuhusiana na DIT kwa level ya certificate au diploma kwa mtu aliyemaliza kidato cha cha nne vigezo vyake. Kama hautajali naomba tufatane inbox.Hii thread inanipa raha, nafurahi kuona kuna DIT wengi ndani ya jamiiforums.
Ukweli ni kuwa DIT ni chuo pekee kinachotoa elimu bora ya engineering Tanzania, hata mlimani mbele ya DIT hawaoni ndani.
Siandiki kwa ushabiki bali nimeona mwenyewe sababu nimebahatika kufundisha na kusaili wanafunzi toka vyuo tofauti.
Long live DIT.
Ni vema ukatembelea chuo mwenyewewakuu habari zenu! mimi naomba kujuzwa kuhusiana na gharama za chuo kwa mwaka kwa mtu anaeyechuku diploma ya MECHANICAL ENGINEERING kuanzia ada na kila kitu.
Kwa maelezo na ufafanuzi zaidi tumia www.dit.ac.tz au principal@dit.ac.tzjamani mtu yoyote anaye kijua chuo cha DIT naomba anisaidie ili niweze kupa nafasi na maelezo
GOV sponsor: Ni kwa wale wanaochaguliwa moja kwa moja kutoka Shule za Upili.Kuhusu direct entry pale DIT kama mtu ana vigezo vyote yaani Credit 3 za Math,Physics na Chemistry halafu na credits za masomo yanayobaki anazo atakuwa government sponsored au kigezo hicho ni kwa anayechaguliwa kutoka shuleni tu?
Hakuna kitu kama hicho! ila kun short courses ambazo hifundishwa wakati wa Likizo fupi!Dit Naomba kijua kama mna March intake
http://www.dit.ac.tz/post/Ordinary-Diploma-Fee-Structure-20152016Naomba mnisaidie kuhusu ghalama za Diploma pale DIT kwa IT zikoje. nina certificate nataka nisome Diploma hapo DIT.
NDIO.Ndugu wana JF nimechaguliwa diploma ya renewable energy technology DIT, je naweza kubadilisha nikishafika chuoni maana malengo yangu yalikuwa kusoma Civil Engineering
http://www.dit.ac.tz/attachment/dit-prospectus-2016_2017_dit-website.pdfNimeingia kwenye website yao. Very, very shallow, inazidiwa hata na website za baadhi ya Vocational Training Centers! Hakuna cha prospectus wala nini, hiyo Prospectus itakuwa shughli kuipata!
Helloo, samahan mkuu, unaweza nisaidia kufahamu japo kirefu cha (CPT) course hapo dit kama unaifaham..........Hii thread inanipa raha, nafurahi kuona kuna DIT wengi ndani ya jamiiforums.
Ukweli ni kuwa DIT ni chuo pekee kinachotoa elimu bora ya engineering Tanzania, hata mlimani mbele ya DIT hawaoni ndani.
Siandiki kwa ushabiki bali nimeona mwenyewe sababu nimebahatika kufundisha na kusaili wanafunzi toka vyuo tofauti.
Long live DIT.
Wameshakata hilo govi tayari?Changamoto kubwa ni yale mabafu kwa watu wa FTC Enzi zile mi nilikuwa na Govi nilipata shida sana! Sijui wameyabadilisha..........