Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

CTO ulivyo zitaja izo sehemu umenifurahisha sana, kijiwe changu cha kusomea ilikua ni C.B.E na I.F.M ah ah ah! Ukinikosa huko nipo room block v wapi mzee Liondo na Mkilamwene na Dr. Saa nane walikua wanafanya wanafunzi hatulali
 
Last edited by a moderator:
CTO ulivyo zitaja izo sehemu umenifurahisha sana, kijiwe changu cha kusomea ilikua ni C.B.E na I.F.M ah ah ah! Ukinikosa huko nipo room block v wapi mzee Liondo na Mkilamwene na Dr. Saa nane walikua wanafanya wanafunzi hatulali

Mzee wa white suit nae alikimbiza sana watu katika Engineering Math!

Wapi Prezzo Ghati na mgomo wa kumfungia Kondoro geti?
 
Dar es salaam Institute of Techology(DIT) sasa kutoa shahada ya uzamilivu(masters) katika fani mpya za teknolojia zaongezwa.Chuo kinachotoa taaluma za teknolojia,kinatarajia kuanza kutoa shahada ya uzamilivu na kuanzisha kozi mpya,
Kozi zinazotarajiwa kuanza ni kama ifuatavyo;


  • Masters of Eng. in maintainance management NTA level 9
  • B.ENG of Technology in laboratory
  • Ordinary diploma of Communication system technology
  • Ordinary diploma in renewable energy techology
  • Ordinary diploma in food science and technology
  • ordinary diploma in multimedia and film Technology
Masomo haya yanatarajia kuanza mapema iwezekanavyo pindi maandalizi yatakapokamilika.
 
Dar es salaam Institute of Techology(DIT) sasa kutoa shahada ya uzamilivu(masters) katika fani mpya za teknolojia zaongezwa.Chuo kinachotoa taaluma za teknolojia,kinatarajia kuanza kutoa shahada ya uzamilivu na kuanzisha kozi mpya,
Kozi zinazotarajiwa kuanza ni kama ifuatavyo;


  • Masters of Eng. in maintainance management NTA level 9
  • B.ENG of Technology in laboratory
  • Ordinary diploma of Communication system technology
  • Ordinary diploma in renewable energy techology
  • Ordinary diploma in food science and technology
  • ordinary diploma in multimedia and film Technology
Masomo haya yanatarajia kuanza mapema iwezekanavyo pindi maandalizi yatakapokamilika.
manoah hapo kwenye red panatakiwa kusomeka uzamivu na sio uzamilivu.
Kimsingi nimependa sana ulivyoanzisha hii thread japo kitu ambacho ningependa kuona kinafanyika ni kuendelea kusimulia historia ya DIT kama ulivyoanza. Kama utaweza kwenda mbele kidogo ukaelezea idara moja baada ya nyingine na pia kuelezea mabadiliko na uanzishwaji wa kozi mbalimbali litakuwa jambo la msingi sana.

Natambua kuna mengi ya kukumbuka katika muktadha wa maisha ya chuo kwa ujumla lakini yasiwe ndo yanajaza thread kwakuwa kwa thraed hii hawa vijana wanaochipukia na kufikiria wasome nini huko mbele ya safari watapata kujifunza na kutambua kozi wanazoweza kuzisoma kadri wanavyotarajia.

Mimi nilikuwepo hapo 2002-2005, tukamletea Kondoro bonge la msala, kama unakumbuka lile tifu la NECTA basi nilikuwa mmoja wa "masteringi" wake hadi tunaondoka Kondoro na Masika wakabaki vichwa chini.
 
Last edited by a moderator:
Mwita Maranya nitafanya hivyo mkuu kama ulivyo nishauli, pia nashukulu kwa kunisahihisha hapo juu!
mwaka wenu mlikua mnamuendesha sana Kondoro Japo nae jamaa ni mtata sana na anajiamini kupita kiasi.

manoah hapo kwenye red panatakiwa kusomeka uzamivu na sio uzamilivu.
Kimsingi nimependa sana ulivyoanzisha hii thread japo kitu ambacho ningependa kuona kinafanyika ni kuendelea kusimulia historia ya DIT kama ulivyoanza. Kama utaweza kwenda mbele kidogo ukaelezea idara moja baada ya nyingine na pia kuelezea mabadiliko na uanzishwaji wa kozi mbalimbali litakuwa jambo la msingi sana.

Natambua kuna mengi ya kukumbuka katika muktadha wa maisha ya chuo kwa ujumla lakini yasiwe ndo yanajaza thread kwakuwa kwa thraed hii hawa vijana wanaochipukia na kufikiria wasome nini huko mbele ya safari watapata kujifunza na kutambua kozi wanazoweza kuzisoma kadri wanavyotarajia.

Mimi nilikuwepo hapo 2002-2005, tukamletea Kondoro bonge la msala, kama unakumbuka lile tifu la NECTA basi nilikuwa mmoja wa "masteringi" wake hadi tunaondoka Kondoro na Masika wakabaki vichwa chini.
 
Last edited by a moderator:
Hii thread inanipa raha, nafurahi kuona kuna DIT wengi ndani ya jamiiforums.

Ukweli ni kuwa DIT ni chuo pekee kinachotoa elimu bora ya engineering Tanzania, hata mlimani mbele ya DIT hawaoni ndani.

Siandiki kwa ushabiki bali nimeona mwenyewe sababu nimebahatika kufundisha na kusaili wanafunzi toka vyuo tofauti.

Long live DIT.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom