Elections 2010 Dalili ya ushindi wa kushindo kwa chadema imekwishaonekana

Kuna Mtu kanipa theory hii, sikupenda kuiamini. Please take it as a Quizz:

Kuna wapiga kura makundi mawili: Kund A na Kundi B

Kuna vyama vitatu vyenye ushawishi: Chama A, Chama B na Chama C:

Inaaminika kuwa kura za Kundi A: Zitagawanyika kwa Chama A na Chama B na Chama C

Where as kura za Kundi A: Zitaenda Chama A na Chache Chama B

Kundi A ni nani na Kundi B ni nani?

Chama A, B na C ni nani?

Why?

According to hiyo nadharia yako, aliyekupa hiyo theory alikuwa anamaanisha kwamba:

Kundi A - ni wale ambao wanataka ku-maintain status quo, yaani wanaogopa upinzani kuingia madarakani kwa kudanganywa, kutishiwa au kupewa ahadi hewa.

Kundi B - Hili ni la wapiga kura ambao wanataka upinzani uingie madarakani wakitarajia kwamba yatakuja mabadiliko mara chama kutoka upinzani kikishinda.

So far kuna vyama vitatu ambavyo vina ushawishi kwenye nafasi za wagombea wa Urais, navyo ni CCM, CHADEMA na CUF.

From this point onward, naomba nitofautiane na theory yako. Kama assumptions zangu hapo juu ziko sahihi, kinachogombewa kwa sasa ni kuongeza kura za vyama upinzani. Kwa hiyo kura za kundi A, ni kama ulivyosema zitaganywa kwenye vyama vitatu. Kwa maneno mengine wapiga kura walioipigia CCM mwaka 2005, wapo ambao watapigia kura CHADEMA na CUF kwenye nafasi za urais. Practically, hicho ndicho kilichotokea kwenye chaguzi ndogo za Kiteto, Busanda na Bihalamuro. Chadema ilipata asilimia kubwa kuliko walizopata kwenye uchaguzi wa 2005 [hapo bado hujapiga factor ya uchakachuaji].

Kura za kundi B zitagawanywa kwa vyama B na C, ambavyo ni CHADEMA na CUF. Nimefuatilia kampeni za CHADEMA na CUF, base yao ya wapiga kura iko solid, sasa hivi wanajaribu kushawishi walioipigia kura CCM mwaka 2005, wapigie vyama vyao. Hapa naogopa kutaja kwamba chama fulani kitapata nyingi na chama fulani kitapata chache kwa sababu ya conflict of interest.

Lakini, angalizo, ukiangalia kampeni za CCM pamoja na siasa za maji taka zinazoendeshwa kwa sasa, you can easily guess which party is a threat to CCM, kazi kwako.
 
Kuna Mtu kanipa theory hii, sikupenda kuiamini. Please take it as a Quizz:

Kuna wapiga kura makundi mawili: Kund A na Kundi B

Kuna vyama vitatu vyenye ushawishi: Chama A, Chama B na Chama C:

Inaaminika kuwa kura za Kundi A: Zitagawanyika kwa Chama A na Chama B na Chama C

Where as kura za Kundi A: Zitaenda Chama A na Chache Chama B

Kundi A ni nani na Kundi B ni nani?

Chama A, B na C ni nani?

Why?

Nilipotofautiana na Theory yako ni hapo kwenye Bold, ama kuna confusion [maana kundi a naona umelirudia mara 2] au inawezekana hicho ndicho kilichokuogopesha.
 
CCM pia wataosa kura zifuatazo
1.wanawake watakaokuwa na jukumu la kulea vichanga
2.watakaouwa menstrual period
3.wenye ujauzito mkubwa
4.wasiojua kusoma na kuandika wamepungua
5.mafisadi watakuwa kwenye dili zao za hela hivyo kuchoka kupiga kura
6.mapedeshee na wasanii ambao hawapendi kupanga foleni
7.wazee wa kujipendekeza UDOM ambao kwa taarifa mpaka sasa hawajapewa pesa ya field hivyo kuchukia
8.wakina dada watakaopigwa vibuti siku moja kabla ya uchaguzi watakuwa na stress
9.kwa kuwa ccm wanadai kuwa na wanachama wengi katika familia zitakazokuwa na matatizo kama yale ambayo huwa sipendi kuyazungumzia watakuwa wana ccm
10.waliochakachuliwa kwenye kura za maoni na kuingi upinzani wameonekana kuwa na nguvu
 
Dalili sawa ziko wazi, ila tujiulize ccm wako tayari kufungasha virago? tusije kuwa another Kenya or rather Zimbabwe. Ninachoomba come 31st oct wote twende tupige kura. Kama hatujapata ikulu at least tuwe na majority kwenye bunge ili tukomeshe hiyo arrogance wanayotumia kupitisha miswada mibovu
 
dalili hizi ni tosha kuwa chadema sasa imeshakamata nchi

dalili ya kwanza

ratiba ya kampeni ya ccm imebadilishwa ambapo mgombea urais sasa hatapumzika

dalili ya pil
ccm wameshaonesha kushindwa kujibu hoja za msingi na hivyo wameanza kutumia hoja za udaku

dalili ya tatu

ccm wameshindwa kupata sababu ya kumshitaki dr slaa na wanatumia watu wengine na magazeti yasiyo na status

dalili ya nne

hoja wanazotoa ccm ni za kigorilla ambao anayemvamia slaa hajitokezi wazi na hata akiulizwa anajaribu kukana

dalili ya tano

kampeni zinazoendelea zinaonyesha ccm wamekumbwa na zomeazomea hata kwenye maeneo wasiyokuwa wametarajia

dalili ya sita

vyombo vya habari vikuu kama televisheni na baadhi pia ya magazeti yanaogopa kuweka kampeni za chadema wazi wazi na hata wakiweka wanajaribu kuficha hoja zenye nguvu. Tbc kukatisha matangazo yake kuficha baadhi ya hoja zenye nguvu ni mfano mmojawapo

dalili ya saba

hadi sasa chadema ndio chama pekee ambapo wananchi wanachanga fedha zao japo sio wanachama

dalili ya nane

angalia polls zilizoendeshwa na dailynews na walipoona dr slaa anagongesha chart kwa ushindi wa kishindo walizitoa. Hapa jf utaona mwenyewe polls zipo wazi na matokea yapo wazi.

dalili ya tisa

hakuna ahadi zozote zenye mvuto toka ccm, na wananchi wameshashtuka kuwa wanafanywa mabwege

dalili ya kumi

uwezo wa kiuongozi wa dr slaa hakuna hata mmoja aliyeweza kuupinga, na ndio maana wanaleta hoja za magazeti ya udaku, na kuacha mambo ya msingi


nini maana ya hizi dalili

ccm watakuwa wanafikiri jinsi ya kuiba kura baada ya kukosa mvuto kwa umma, na hili ni hatari kwa taifa, kama wataendeleza tabia hii ya kitoto, isiyoonyesha kuheshimu demokrasia.


Asante kwa kazi nzuri, ila tusilale. Tupambane hadi siku ya kura 31.10. Hapa linalotakiwa ni kuwaelimisha wananchi wetu kuwa ni Chadema tu ndiyo itatuletea ukombozi. Wapige kura ili kuiletea ushindi Chadema.

Baada ya kupiga kura tuhakikishe kura zinalindwa. CCM ni wezi waliokubuhu. Wana mbinu nyingi za kuiba. Mbaya kuliko yote ni kuwahonga mawakala wa vyama vya upinzani wakati wa majumuisho.
 
Acha kuchefua watu hapa kwa vijisababu visivyo na fact, hivi unawafahamu watanzania vizuri? watanzania waleo ndiyo wale wanaosema ooh nimelelewa na CCM hivi mtu kama huyu utamuambia nini na umbumbu wake huo kuwa amelelewa na CCM ukimuangalia hana hata pakulala na mlo wasiku hajui kama ataupata? leteni mbinu ya namna gani Chadema itaibuka na ushindi..

Ili chadema Ishinde mimi/wewe tuungane kushawishi wananchi wenzetu kwenda kupiga kura na kuichangu chadema, zaidi ya hivyo tutakuja kukimbizana humu ndani mkidahi CCM wameiba kura!

Tunaomba kura yako Mganyizi.
 
Watanzania, hasa wana-CHADEMA:

Inapokuja kujadili sera, wengi tunalilia haiba za wagombea. Na inapokuja kujadili haiba za wagombea, tunalilia kujadili sera!

Kwa sera na haiba, CHADEMA sasa ni zero! Itawachukua muda kusafisha hilo la Dr. Slaa na tuhunma yake ya kuiba mke wa mtu ... Dr. Slaa ni Mkristo na Mwanasheria ... maadili zero! Na kuna-debase mapambano dhidi ya ufisadi ... kwani anaonekana ni fisadi wa aina yake ... sumu mbaya!Dr. Slaa ametuabisha beyond conscience, we do not want any further mortification to complete our embarrassment!

Kawaaibisha wewe na nani mkuu?:confused2:
 
dalili ya saba unajidanganya.wanaochangia CHADEMA NI WACHAGA TU, kwani wana maslahi na hicho chama chenu cha kikabila. dalili ya nane nayo ni uwendawazimu kuitilia maanani kwani wengi wanaopost comment zao humu ni washabiki wa CHADEMA ambao kuna ushahidi kuwa si wapiga kura( kumbuka hata Mrema alibebwa kama jeneza lakini aliangukia pua.CCM imewekeza kwa wazalendo wa hali ya chini ambao hawajui hata computer ina umbo gani na for sure wao ndio wapiga kura.
panua miguu na uwe tayari kufanyiwa tohata(kutahiriwa) kwa mara nyingine
Wewe ndio mkabila - hata huyo anayegombea urais kupitia CHADEMA naye ni mchagga?
 
dalili ya saba unajidanganya.wanaochangia CHADEMA NI WACHAGA TU, kwani wana maslahi na hicho chama chenu cha kikabila. dalili ya nane nayo ni uwendawazimu kuitilia maanani kwani wengi wanaopost comment zao humu ni washabiki wa CHADEMA ambao kuna ushahidi kuwa si wapiga kura( kumbuka hata Mrema alibebwa kama jeneza lakini aliangukia pua.CCM imewekeza kwa wazalendo wa hali ya chini ambao hawajui hata computer ina umbo gani na for sure wao ndio wapiga kura.
panua miguu na uwe tayari kufanyiwa tohata(kutahiriwa) kwa mara nyingine


Hapo ndipo mnaponichosha mashati ya green!!! Mnajivunia kuwa na wazalendo wasiojua hata umbo la computer!!!
 
A ni CCM, B ni CHADEMA na C ni CUF.CHADEMA BAADA YA KUINGIA DR SLAA IMEPANDA CHATI MNO NA CUF IMEPOTEZA MWELEKEO WAKE. WATANZANIA WENYE DESTURI YA KUIPIGIA KURA CCM WATAIPA KURA CHADEMA NA WACHACHE WATAIPA CUF. NA PIA WANACHAMA WOTE WA CHADEMA WATAPIGA KURA CHADEMA. CCM WATAKOSA KURA NYINGI ZA WATANZANIA NA KWA HALI HIYO WATATEGEMEA KUIBA KURA NA KURA CHACHE ZA WA-CCM. HATA HIVYO KUIBA KURA HAITASAIDIA MAANA UTATUMIA MBINU GANI KUIBA MFANO KURA MIL 2 USIZOPIGIWA WEWE? KWA MAANA HII RAIS ATATOKA CHADEMA. WABUNGE WENGI WA CCM WATAKOSA KUCHAGULIWA NA HIVYO CHADEMA ITAPETA. GO DR SLAA! GOD BLESS YOU.
 
ukweli unauma.....hata wana ccm wanapoujua ukweli namna hii wengi wanabadili tabia wanaiacha ccm...wnakula pilau na pombe za kienyeji lakini hawako tayari tena kuichagua............
 
Hii hapana! hii ilikuwa zamani kaka..

Mkuu, nimesema hivyo nikiwa naelewa kitu ninacho kiandika.. nimejuzi tu nilikutana na baadhi ya vijana ambao niliwauliza wamejiandaa vipi na uchaguzi,jibu walilo nipa nilitapani kuwapiga makofi, eti

"hakuna chama kingine zaidi ya CCM hivi vingine ni vyama vya kihuni tu, CCM ndiyo imetulea hivyo lazima tuipigie kura"


Niliwatazama nika wapa somo ya jinsi CCM hilivyo na jinsi nchi inacyo kwenda huwezi hamini hawakunielewa, ila nilicho kigundua kwa wale vijana ni kuwa hawana elimu kabisa na kingine mazingira wanayoishi hayawapi fursa ya kutambua kinacho endelea kwenye nchi hii..

Na watu kama hao ndio wengi kwenye hii nchi,hivi unategemea nini kwa watu kama hawa kuto kuipigia kura CCM?

Cha muhimu mimi naona ni kuwapa watu kama hawa elimu ya jinsi hii nchi inavyo nyonywa na CCM N'k ili watambue hali halisi, na kuhakikishia tukifanikiwa kwa hilo CCM ni bye bye!
 
Tunaomba kura yako Mganyizi.

Siyo yangu tu tarajieni kupata kura zaidi ya 50 toka kwangu, nikimaanisha toka kwa familia yangu ya mjini na vijijini, kesho kutwa na safiri kuelekea kijijini kwangu nitafanya ka sherehe kidogo
ambapo nitawaalika na majirani nitatumia na fasi hiyo kuwaelimisha wana kijiji wangu kuhusu umuhimu wa kura yao na ni jinsi gani watakavyo tumia kura yao kubadilisha maisha yao kwa kuchagua kiongizi wadilifu na makini ambaye ataweza kuwaletea maendelo.


Na kuakikishia tukifanya hivi kwa kila mtu wenye uchungu na hii nchi basi CCM haina chake hapa, Tafadhalini wazalendo wenzangu tutumie elimu hii tuliyo nayo kuwshawishi na wananchi wenzetu hakika tutafanikiwa hii vita.
 
Teh teh, haki ikifuatwa wananchi watapata wanachokitaka.
 
Back
Top Bottom