dalili ya saba unajidanganya.wanaochangia CHADEMA NI WACHAGA TU, kwani wana maslahi na hicho chama chenu cha kikabila. dalili ya nane nayo ni uwendawazimu kuitilia maanani kwani wengi wanaopost comment zao humu ni washabiki wa CHADEMA ambao kuna ushahidi kuwa si wapiga kura( kumbuka hata Mrema alibebwa kama jeneza lakini aliangukia pua. CCM imewekeza kwa wazalendo wa hali ya chini ambao hawajui hata computer ina umbo gani na for sure wao ndio wapiga kura.
panua miguu na uwe tayari kufanyiwa tohata(kutahiriwa) kwa mara nyingine
[/QURe: Dalili ya ushindi wa kushindo kwa chadema imekwishaonekana
Kuna Mtu kanipa theory hii, sikupenda kuiamini. Please take it as a Quizz:
Kuna wapiga kura makundi mawili: Kund A na Kundi B
Kuna vyama vitatu vyenye ushawishi: Chama A, Chama B na Chama C:
Inaaminika kuwa kura za Kundi A: Zitagawanyika kwa Chama A na Chama B na Chama C
Where as kura za Kundi A: Zitaenda Chama A na Chache Chama B
Kundi A ni nani na Kundi B ni nani?
Chama A, B na C ni nani?
Why?OTE]
Kundi A Wale wa mjini
Kundi B Wale wa vijijini
Chama A CHADEMA
Chama B CCM
Chama C CUF
Nimefaulu_
dalili hizi ni tosha kuwa chadema sasa imeshakamata nchi
dalili ya kwanza
ratiba ya kampeni ya ccm imebadilishwa ambapo mgombea urais sasa hatapumzika
dalili ya pil
ccm wameshaonesha kushindwa kujibu hoja za msingi na hivyo wameanza kutumia hoja za udaku
dalili ya tatu
ccm wameshindwa kupata sababu ya kumshitaki dr slaa na wanatumia watu wengine na magazeti yasiyo na status
dalili ya nne
hoja wanazotoa ccm ni za kigorilla ambao anayemvamia slaa hajitokezi wazi na hata akiulizwa anajaribu kukana
dalili ya tano
kampeni zinazoendelea zinaonyesha ccm wamekumbwa na zomeazomea hata kwenye maeneo wasiyokuwa wametarajia
dalili ya sita
vyombo vya habari vikuu kama televisheni na baadhi pia ya magazeti yanaogopa kuweka kampeni za chadema wazi wazi na hata wakiweka wanajaribu kuficha hoja zenye nguvu. Tbc kukatisha matangazo yake kuficha baadhi ya hoja zenye nguvu ni mfano mmojawapo
dalili ya saba
hadi sasa chadema ndio chama pekee ambapo wananchi wanachanga fedha zao japo sio wanachama
dalili ya nane
angalia polls zilizoendeshwa na dailynews na walipoona dr slaa anagongesha chart kwa ushindi wa kishindo walizitoa. Hapa jf utaona mwenyewe polls zipo wazi na matokea yapo wazi.
dalili ya tisa
hakuna ahadi zozote zenye mvuto toka ccm, na wananchi wameshashtuka kuwa wanafanywa mabwege
dalili ya kumi
uwezo wa kiuongozi wa dr slaa hakuna hata mmoja aliyeweza kuupinga, na ndio maana wanaleta hoja za magazeti ya udaku, na kuacha mambo ya msingi
nini maana ya hizi dalili
ccm watakuwa wanafikiri jinsi ya kuiba kura baada ya kukosa mvuto kwa umma, na hili ni hatari kwa taifa, kama wataendeleza tabia hii ya kitoto, isiyoonyesha kuheshimu demokrasia.