Daladala za Arusha zagoma

Polisi bado hawajapata mishahara, kwahiyo wanaendelea kubambikia kesi ili waweze kuishi sababu bosi wao bado yuko guest hajahamia kwenye nyumba.
 
Duuuh poleni sana wana arusha. wakigoma wanafunzi vyuoni eti CDM wanawachochea. Je, madaladala men wanachochewa na CDM pia? magamba tatueni matatizo sio kuendekeza politik za visingizio bana.

Mmmh na kweli sasa hii sijui watasema ni CDM chanzo?
 
Jamaa wana msimamo paka mida hii wamegoma.nawaonea huruma wakazi wa sokon one,njiro na unga ltd leo watachezea loba za mbao ile mbaya.
 
Jamaa wana msimamo paka mida hii wamegoma.nawaonea huruma wakazi wa sokon one,njiro na unga ltd leo watachezea loba za mbao ile mbaya.

heri ya hao....kidogo wanaweza kusema wapo karibu na mji......ila Njiro kwa Msola imekula kwao.....mbaya zaidi ni wale wa Usa River na Maji ya chai.....kiufupi hali ni mbaya
 
Kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake (mfuko wake) ila mimi natamani kama hali hii itaendelea kama miezi miwili hivi na umeme ukatika wiki 2 ndipo watanzania tutakuwa na akili na kufanya maamuzi kuhusu serikali
 
Hatimaye ule mgomo wa daladala jijini Arusha leo tena umechukua siku ya pili japokua mkuu wa mkoa wa Arusha na sekta husika kukaa hapo jana na kujadili ni namna gani wanaweza kutekeleza matakwa ya madereva pamoja nawamiliki wa daladala hizo. Asubuhi kumekucha vizuri kabisa na daladala hizo kufanya kazi zao kama kawaida lakini kwenye muda wa saa 8:30am asubuhii gafla bin vuu daladala hizo zikaanza mgomo kama jana.
 
Tumechoka kuona madereva hawa kusimama popote wanapotaka baadala ya kuchukua au kuwashusha abiria kwenye vituo vya basi barabaranii. Wacha washughulikiwe, hawako juu ya sheria hawa na wanatukera sana sisi tuliokuwa na magari binafsi. Nitafurahi sana kama daladala na piki piki zitapigwa marufuku katikati ya jiji na waishie huko Ngulelo, Sakina, Mbauda, Suye/Moshono, Njiro n.k. Mabasi kama ma coaster ndiyo yatumike katikati ya jiji kumpunguza msongamano wa magari.
 
Tumechoka kuona madereva hawa kusimama popote wanapotaka baadala ya kuchukua au kuwashusha abiria kwenye vituo vya basi barabaranii. Wacha washughulikiwe, hawako juu ya sheria hawa na wanatukera sana sisi tuliokuwa na magari binafsi. Nitafurahi sana kama daladala na piki piki zitapigwa marufuku katikati ya jiji na waishie huko Ngulelo, Sakina, Mbauda, Suye/Moshono, Njiro n.k. Mabasi kama ma coaster ndiyo yatumike katikati ya jiji kumpunguza msongamano wa magari.
 
Tumechoka kuona madereva hawa kusimama popote wanapotaka baadala ya kuchukua au kuwashusha abiria kwenye vituo vya basi barabaranii. Wacha washughulikiwe, hawako juu ya sheria hawa na wanatukera sana sisi tuliokuwa na magari binafsi. Nitafurahi sana kama daladala na piki piki zitapigwa marufuku katikati ya jiji na waishie huko Ngulelo, Sakina, Mbauda, Suye/Moshono, Njiro n.k. Mabasi kama ma coaster ndiyo yatumike katikati ya jiji kumpunguza msongamano wa magari.

Duh, sipati picha kama coaster zitajaa mjini kama hizi hiace. BTW , Ukitoka mjini unataka kwenda Njiro au Kijenge , stand iko pande ipi?
 
Nathani Serikali inatakiwa isikilize madai ya madereva hao kwani yapo madai ambayo ni ya msingi, hayatakiwi kupuuzwa. Hawa jamaa vilevile wanatekeleza haki yao ya kikatiba inayoruhusu uhuru wa kujieleza na kupingana kwa hoja.
 
Tumechoka kuona madereva hawa kusimama popote wanapotaka baadala ya kuchukua au kuwashusha abiria kwenye vituo vya basi barabaranii. Wacha washughulikiwe, hawako juu ya sheria hawa na wanatukera sana sisi tuliokuwa na magari binafsi. Nitafurahi sana kama daladala na piki piki zitapigwa marufuku katikati ya jiji na waishie huko Ngulelo, Sakina, Mbauda, Suye/Moshono, Njiro n.k. Mabasi kama ma coaster ndiyo yatumike katikati ya jiji kumpunguza msongamano wa magari.

Tatizo la hapo Arusha hakuna sheria inayofuatwa tuwe wakweli daima me huwa nikiwa huko nashangaaa sana mambo yanavyo endeshwa askari wanakuwa na mamlaka ya ajabu kila mtu anafanya atakavyo mwazani kwa hali hiyo hapo mtafanikiwa kweli ?? Mfano ni miaka mingapi sasa Arusha hapo Mjini hakuna Barabara kuna Barabara Moja mjini na nyingine ndio Barabara kuu ya Nairobi Moshi Dar Mjini kuna vibarabara ambavyo hata rami havina njia ya kwenda njiro iko Moja hakuna barabara nyingine ya kupita ufike njiro au Ufike USA huo ni mji sasa na kila mara mwataka iwe JIJI mpango miji ni duni kuliko kuna majumba mazuri ila ilivyo pangika hapa nyumba ya udongo pale bangalo kubwa usipime njia maji tupu yametuwama sasa hivi kweli hapo kuna mipango miji jamani tuweni makini hizi serikali za mitaaa viongozi tumewapa dhamana lakini hakuna wanacho kifanya bali ni kula deal na kujaza matumbo yao na ndilo hilo hilo linalo wasumbuwa Madiwani wa hapo Arusha Tamaaa na njaaa na uchu wa madaraka kwani wanajua ndipo mahali pa kuchunia na kutoka kimaisha hakuna mipangilio ya kiuongozi
 
Tumechoka kuona madereva hawa kusimama popote wanapotaka baadala ya kuchukua au kuwashusha abiria kwenye vituo vya basi barabaranii. Wacha washughulikiwe, hawako juu ya sheria hawa na wanatukera sana sisi tuliokuwa na magari binafsi. Nitafurahi sana kama daladala na piki piki zitapigwa marufuku katikati ya jiji na waishie huko Ngulelo, Sakina, Mbauda, Suye/Moshono, Njiro n.k. Mabasi kama ma coaster ndiyo yatumike katikati ya jiji kumpunguza msongamano wa magari.
nitajie vituo sahihi vya barabara hizi vinginevyo acha ujinga....tuanze na
1. Mjini-Majengo(Mbauda)
2.Mjini - Mrombo
3.Mjini -engo
4. Mjini - uswahilini
5.mjini - kijenge
Halafu uniambie stedi ya daladala iko sehemu gani hapa Arusha mjini na kama hutojari hata stand kuu niambie iko sehemu gani kama zipo unitajie inaweza kuruhusu magari magapi kupark kwa wastani...Kifupi umeonyesha ubinafsi na uelewa mdogo sana au umekurupuka...
 
Kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake (mfuko wake) ila mimi natamani kama hali hii itaendelea kama miezi miwili hivi na umeme ukatika wiki 2 ndipo watanzania tutakuwa na akili na kufanya maamuzi kuhusu serikali
unaweza kuchekelea lakini huko tunako kwenda kama wewe una usafiri wako au una jenereta yako tutakuja kuichukua mchana kweupe....jana watu wamelizwa simu hiyo ni siku ya kwanza na kama wangefanya tathimini ya hasara iliyopatikana jana hapa Arusha ungeshangaa sana..jana mai waifu kaniambia mboga ya majani ya 100 iliuzwa 200..sijui leo..kisa wenye mboga hawana usafiri kutoka nje ya mjini kuleta mjini na wakifanikiwa ni kwa galama kubwa sasa unasema ikiendelea hivi miezi miwili!?
 
Nenda chini ya mti,....karibu na posta meru
kwa hiyo pale ndiyo stendi ya mabasi ya njiro hivi pale unaweza kuweka gari zadi ya 6 na je mabasi ya njiro yaweza kuwa magapi...kifupi Arusha hatuna vituo vya mabasi hata kugeuzia gari hakuna....
 
kuna tetesi kwamba kuna maandamano ya vijana wa chadema mjini arusha na polisi wanapiga mabomu ya machozi kuwanyamazisha mwenye taarifa zaidi naomba utujuze zaidi
 
Back
Top Bottom