MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Mkuu niwaulize nyie wa Arusha swali, Biashara nyingi za Daladala si Askari Police wengi wanaendesha(Wamiliki) hizo biashara?? Mtu mmoja kaniambia kama zile za Ndesa Tokea Arusha last time nilishangaa ni nyingi nivyo ziona na nilipo uliza niliambiwa ni za Askari Huko USA.
Ukweli ndio huo mkuu siyo magari mengi ni ya traffic tu bali matraffic wengi wa kike ni wapenzi wa makondakta na madereva.