Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Jamani eh, mimi natatizika sana na hili neno Daktari Bingwa. Kimantiki linaonekana kama mtu aliyebobea katika fani fulani ingawa kwa matumizi nadhani linamaanisha daktari aliyespecialise katika kitu fulani. Je hii ina maana kwamba aliyespecialise kwenye jicho kwa mfano lazima awe bingwa (champion) wa macho? Mimi nadhani daktari maalum wa macho inasimama vizuri zaidi. Naomba ufafanuzi.