Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Pamoja na kumlaumu Ndugai, kuna haja y akuyajadili aliyoyasema pia. Jamani hii nchi imefikia mahali ambapo kila mtu anakufa na chake. Ndugai anayoyasema ni kweli wala hayana ubishi. Juzi tu kuna Assistance mmoja alihudhuria kikao kwa niaba ya bosi wake wizarani, alirudi baada ya masaa mawili na machozi usoni!!!!!!!
Analia kwani baada ya kikao cha masaa mawili walipewa bahasha yenye shilingi za kitanzania 800,000/= (laki nane) posho ya kikao!!! Aliposhangaa akaambiwa ni kwa kikao hiki tu lakini vingine posho yetu huwa shilingi millioni moja na laki mbili!!!
Ndugai anamaanisha anachokisema! Tukiyaona na kuyajua tutajinyonga kama sio kuipiga nchi kiberitii tukose wote...
Ni kwlei kabisa. Lakini jamaa wakati analia alikuwa ameshalamba 800,000 au aliikataa??
Kama aliiikataa, basi alikuwa na sababu ya kulia.