Tanzania yetu kweli imeisha, but its true fikiria posho wanazolipwa watumishi wa umma wa foreign affairs na idara zingine inapotokea wamesafiri na mh rais nje ya nchi. na kama mjuavyo safari za mkuu wa nchi
Ajabu OTIS kuwageuka mabwana zake, ama kweli nyota imechomoza!Job Ndugai kanisikitisha.
Nae anaingia kwenye orodha ya magamba yasiyofaa kuwa viongozi wa uma.
How the hell did he become a deputy speaker?
OTIS
Naibu Spika Jobu Ndugai amedai kuwa watanzania inabidi wasilaumu sana wabunge kuongezewa posho, Ndugai kasema kuwa kuna muhimili mitatu ya nchi ambayo niBUNGE, SERIKALI NAMAHAKAMA, Ndugai kasema kama watanzania wangejua ni kiasi cha posho kubwa wanacholipwa viongozi wa seikali na mahakama basi watanzania wangejinyonga kabisa badala ya kulaumu hizi wabunge ambacho ambacho kadai kuwa ni kidogo kuliko wananchi wanavyofikilia,
Hii kauli ya Ndugai ilimshitua hadi mtangazaji baada ya kusikia kuwa nchi hii kuna zaiudi ya maefu ya wafanyakazi wanapokea posho za kutisha kuliko hata wabunge, Ndugai kadai wabunge ni wafanyakazi wasiozidi hata 350 lakini ndoo wamenyooshewa kidole na waandishi wa habari bila kufahamu kuwa kuna posho zinalipwa mara 10 zaidi ya hizo zao kwa siku na kudai kuwa ni maelfu ya wafanyakazi wa mihimili ya serikali na mahakama na hii ndoo imefanya hadi wabunge waamue kujiongezea.
Napingana na Job kujustify wizi kwa sababu wengine wanaiba pia. hebu tuwe na huruma kwa watanzania itafika mahala tutagoma kulipa kodi sijui mtajisikiaje. Nalaumu wengi wa sisi watanganyika tuna nidhamu ya uoga. Kwa upande wa posho ktk mihimili mingine atuambie ni kiwango gani cha posho wanazopata mwenye dondoo atuwekee kidogo. Mimi huwa naona kuna kitu hii inaitwa per DM if am not wrong kwa mfanyakazi wa kawaida aendae nje ya nchi ni zaidi ya dola 600 kwa siku x 1600 =960000 Kwa JK na timu yake? Inawezekana wabunge wengi hawapati hii kwa sababu vikao vyafanyika dodoma ambayo ni ndani ya nchi. Halafu tunadanganywa kwamba sisi ni waajiri wao thubutu? Mwajili gani hajui mfanyakazi wake anajilipa ngapi?
Hii kauli ya Ndugai ilimshitua hadi mtangazaji baada ya kusikia kuwa nchi hii kuna zaiudi ya maefu ya wafanyakazi wanapokea posho za kutisha kuliko hata wabunge, Ndugai kadai wabunge ni wafanyakazi wasiozidi hata 350 lakini ndoo wamenyooshewa kidole na waandishi wa habari bila kufahamu kuwa kuna posho zinalipwa mara 10 zaidi ya hizo zao kwa siku na kudai kuwa ni maelfu ya wafanyakazi wa mihimili ya serikali na mahakama na hii ndoo imefanya hadi wabunge waamue kujiongezea.
Ndugai asifananishe majaji na wabunge, majaji ni proffesional wakati wabunge ni siasa tu mdomoni. kweli ccm imekuwa kila kiongozi ni kambale, mtoto ana ndevu, mama ana mdevu na baba ana ndevu. hakuna kuheshimiana.
Unajua ni kwa nini? Bungeni ni sehemu pekee unapoweza kuchapa usingizi kutwa nzima na bado ukalipwa malipo makubwa bila wasiwasi wowote. Ndani ya Bunge letu nakuhakikishia wabunge hasa na watimiza wajibu hawazidi 70.Akili yangu inasita kukubaliana na hilo jambo, manake nikiona flow ya watu hata kama ni mabosi kwenye mashirika mengine bado wanaacha huko wakikimbilia bungeni. Sijawahi kuona mtu aliyeacha UBUNGE kisa kapata kazi ya ukurugenzi NSSF, TANAPA au hata TRA alizozisema. Hii inamaanisha nini? ni kuwa bungeni ni mahali BEST kuliko pote?
Nilkuwa sijui kama wabunge ni wafanyakazi. Kumbe ukipigiwa kura unapata ajira? Huyu jamaa nadhani uwezo wake wa kuelewa ni mdogo sana unless amenukuliwa vibaya......kazi za kuchaguliwa mara nyingi zinapaswa kuwa za kujitolea
Job Ndugai kanisikitisha.
Nae anaingia kwenye orodha ya magamba yasiyofaa kuwa viongozi wa uma.
How the hell did he become a deputy speaker?
OTIS
Huyo Ndugai hana jipya, yeye na Makinda walipaswa kuliongoza Bunge kukataa posho na baadae wangeweza kuisimamia uondoaji wa baadhi ya posho kwenye Serikali na Mahakama. Anachothibitisha sasa ni ulafi wa Wabunge kwa kisingizio cha "mihimili mingine pia kufanya jambo hilo."