Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
baba chanja wako ananijua?Bishanga acha unoko, asiwajue kwani marafiki ni siri?
baba chanja wako ananijua?Bishanga acha unoko, asiwajue kwani marafiki ni siri?
Mmmmh!! Mende nawe nalidhani ntapata kilicho kizuri kumbe upuuzi mtupu..unadhalilisha dada zetu, but da nao wamezidi, sijui nitukane bila maneno ka ulivyofanya wewe?..Hapana njoo ntulie tu nikitazama wengine wanasemaje katika hili la kwako..
Kawadhalilisha au wanajidhalilisha????!Mmmmh!! Mende nawe nalidhani ntapata kilicho kizuri kumbe upuuzi mtupu..unadhalilisha dada zetu, but da nao wamezidi, sijui nitukane bila maneno ka ulivyofanya wewe?..Hapana njoo ntulie tu nikitazama wengine wanasemaje katika hili la kwako..
Ukipitia huku utaona ndoa ndoano.
Huyo anatakiwa apite huku hapo ndio atamuheshimu huyo mume wake.huku atajua kuwa hao wanao binua makalio siyo kama wanapenda wanafanya hivyo ili wapate hata huo mkate wa siku, anafanya kibuli kwa kuwa anajua kuwa jamaa kila siku analeta chakula home.hana adabu hata kidogo huyo dada.Na wewe kwanini huwa huendi kwenye harusi ina maana huna hta ndugu au marafiki wanao olewa na kuowa,unaishi dunia gani.