Dada wa mbunge wa viti maalumu (CCM) Mh Munde Tambwe anayeitwa Khadija Tambwe alikamatwa jana na madawa ya kulevya ktk uwanja wa ndege wa JK Nyerere akiwa safarini kuelekea Uturuki.
Mpaka sasa polisi haijatoa taarifa ya tukio hili.
Ifahamike kuwa Munde ni mmoja wa wabunge wanaotuhumiwa kwa rushwa kamati ya bunge ya Nishati na Madini.
BAADAE MAGAZETINI:
Mpaka sasa polisi haijatoa taarifa ya tukio hili.
Ifahamike kuwa Munde ni mmoja wa wabunge wanaotuhumiwa kwa rushwa kamati ya bunge ya Nishati na Madini.
BAADAE MAGAZETINI: