Dada zangu huu ni ustaarabu?

Ni vizuri chupi zianikwe juani, zipigwe jua zikauke kwa ajili ya afya ya mvaaji. Zisipokauka vizuri mvaaji mwenyewe ndio ataenda pharmacy kununua dawa na kujiuguza. Sasa ya nini kuogopa watazamaji mpaka mtu uweke chupi ndani?
 
We unakuwa umetumwa kwenda chumbani kwake? unahisa na hicho chumba? inamaana asiwe huru na chumba chake?
Chumbani si sehamu ya mazungumzo,sasa kama wewe umeenda kumtembelea msubiri nje au mtafute mahali pazuri pa kuongelea
Kama nimpenzi wko haitakusumbua lakini kwakuwa wewe si mdau ndo maana unalalama!
Hata hivyo Chumbani kwa wanawake unafata nini?
 
kwa mabinti ukienda vyumbani kwao utakuta wametundika nguo zao za ndani kila m2 anaona je huu ni ustarabu ama ni kwanini msiziweke sehemu za faragha? JE HUU NI HUUGWANA

Jamani, kwani cha siri zaidi kisichojulikana kwenu ni nini? Hizo si ni nguo tu au wewe hupata taabu unapozina machoni?
 
kwa mabinti ukienda vyumbani kwao utakuta wametundika nguo zao za ndani kila m2 anaona je huu ni ustarabu ama ni kwanini msiziweke sehemu za faragha? JE HUU NI HUUGWANA

Kama woga wako ndiyo huo basi hata siku moja usiende bichi wala kasino. Roho itakwenda mbio kaka.
 
Ni nguo kama nguo zingine, istoshe umeziona chumbani kwa mtu, kila mtu na sheria yake, kwakua hakuja kuzianika chumbani kwako, haina shida ni bomba tu.
 
We unakuwa umetumwa kwenda chumbani kwake? unahisa na hicho chumba? inamaana asiwe huru na chumba chake?
Chumbani si sehamu ya mazungumzo,sasa kama wewe umeenda kumtembelea msubiri nje au mtafute mahali pazuri pa kuongelea
Kama nimpenzi wko haitakusumbua lakini kwakuwa wewe si mdau ndo maana unalalama!
Hata hivyo Chumbani kwa wanawake unafata nini?

Ndugu, sishangai kumbe ndo maana nyumba zingine ukienda ukutani unakuta tangazo, mgeni ulicho kikuta hapa kiache hapa hapa, nilikua sijui wanamaanisha nini kumbe ni kwaajili ya watu kama hawa.
 
nguo za ndani za akina dada kama chupi nk nazo ni ngu tu. mahali pa kuweka inategemeana na mila , desturi za jamii husika na lifestyle ya mtu binafsi. but ni vizuri kutozi-display somewhere ambapo patakwaza watu without undermining sanitary and hygienic conditions as a must pre-requisite
 
mi naona cha ajabu ni kuzianika ndani
alitakiwa azipige kwenye kamba juani nje
Kweli kabisa,kuanika chumbani zikiwa mbichi vile si zitaleta hewa fulani nzito
na kuleta uvundo! Zianikwe mahali penye mwanga na hewa ya kutosha.
 
Mie sioni kama ni kitu cha ajabu. Mbona dukani zipo, na tunajua kuwa mtu kavaa nguo ya ndani. Ni kitu ambacho hatuja zoea na tumejenga mawazo mabaya. Mtu akiona nguo ya ndani ya mwanamke anasisimka, kulikoni??. Kama huoni aibu anika nje kabisa na watu waone hakuna tatizo na wala si kinyume cha maadili. Ila katika jamii ya kitanzania ,sio ustarabu kuanika,kuweka peupe hizo nguo nyeti.

Umejichanganya katika maelezo yako, mara useme hakuna cha ajabu, mara useme si vizuri kuanika peupe. Tutofautishe chupi ikiwa dukani na ikisha nunuliwa na mtu.
 
Nafikiri wewe sokon una ka tatizo hasa ukiona chupi. Chupi inabidi ikae sehemu ya wazi ili ipate hewa na kukauka. to be frank chumbani kwangu anaingia mtu wa karibu yangu au boyfriend, siyo kila mtu atakaribishwa kiholela. Kwa mantiki hiyo, wadada anikeni chupi nje zikauke ili tusipate magonjwa muwasho.

Mwishowe mtasema; "acha tutembee uchi kwani nani asiyeujua uchi ukizingatia picha za ngono zinaonyeshwa ovyo na kila kitu"
 
Mmh hizi chupi zina nini!! Wengine hawavai, wanaovaa wakifua wanaanika ndani. Lol!
 
Mmh hizi chupi zina nini!! Wengine hawavai, wanaovaa wakifua wanaanika ndani. Lol!

Hazina kitu!
Zinapovaliwa ni sehem Nyeti...ukitzama hzo nguo ni rahisi kujenga hisia ya sehem yenyewe.
ex: mtu unaemheshim mtu mzima...akianika suruali au shati haitakushangaza...lakin c.h.u.p.i yake ukiiona ukweli utajhsi aibu.
Ni hivyo tu!
Vise versa!!!
 
Back
Top Bottom