Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Poa2 hasa zikiwa zile za vikamba...
B*k*n*
Poa2 hasa zikiwa zile za vikamba...
zinatakiwa zipate upepo.....zikifichwa sana hazitakauka...mwisho zitaleta fungus
kwa mabinti ukienda vyumbani kwao utakuta wametundika nguo zao za ndani kila m2 anaona je huu ni ustarabu ama ni kwanini msiziweke sehemu za faragha? JE HUU NI HUUGWANA
kwa mabinti ukienda vyumbani kwao utakuta wametundika nguo zao za ndani kila m2 anaona je huu ni ustarabu ama ni kwanini msiziweke sehemu za faragha? JE HUU NI HUUGWANA
We unakuwa umetumwa kwenda chumbani kwake? unahisa na hicho chumba? inamaana asiwe huru na chumba chake?
Chumbani si sehamu ya mazungumzo,sasa kama wewe umeenda kumtembelea msubiri nje au mtafute mahali pazuri pa kuongelea
Kama nimpenzi wko haitakusumbua lakini kwakuwa wewe si mdau ndo maana unalalama!
Hata hivyo Chumbani kwa wanawake unafata nini?
Karibu sana Fatma, Karibu Jamvini.......kweli hata mimi nakuunga mkono kama ni za ajabu na madukani ziondolewe
Kweli kabisa,kuanika chumbani zikiwa mbichi vile si zitaleta hewa fulani nzitomi naona cha ajabu ni kuzianika ndani
alitakiwa azipige kwenye kamba juani nje
kweli hata mimi nakuunga mkono kama ni za ajabu na madukani ziondolewe
Mie sioni kama ni kitu cha ajabu. Mbona dukani zipo, na tunajua kuwa mtu kavaa nguo ya ndani. Ni kitu ambacho hatuja zoea na tumejenga mawazo mabaya. Mtu akiona nguo ya ndani ya mwanamke anasisimka, kulikoni??. Kama huoni aibu anika nje kabisa na watu waone hakuna tatizo na wala si kinyume cha maadili. Ila katika jamii ya kitanzania ,sio ustarabu kuanika,kuweka peupe hizo nguo nyeti.
Nafikiri wewe sokon una ka tatizo hasa ukiona chupi. Chupi inabidi ikae sehemu ya wazi ili ipate hewa na kukauka. to be frank chumbani kwangu anaingia mtu wa karibu yangu au boyfriend, siyo kila mtu atakaribishwa kiholela. Kwa mantiki hiyo, wadada anikeni chupi nje zikauke ili tusipate magonjwa muwasho.
Mmh hizi chupi zina nini!! Wengine hawavai, wanaovaa wakifua wanaanika ndani. Lol!