Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Nafikiri wewe sokon una ka tatizo hasa ukiona chupi. Chupi inabidi ikae sehemu ya wazi ili ipate hewa na kukauka. to be frank chumbani kwangu anaingia mtu wa karibu yangu au boyfriend, siyo kila mtu atakaribishwa kiholela. Kwa mantiki hiyo, wadada anikeni chupi nje zikauke ili tusipate magonjwa muwasho.