jose tajiri
JF-Expert Member
- Dec 22, 2015
- 778
- 181
Mpeni nafasi ajiu tu, pumbavu zake
Hatsla yule aliyejiua kule Moshibkwa kufiwa na mama yake na kisha kupigia simu ndugu zak walioishia kumwambia kuwa anatishia, walimkuta kwenye kamba. Same kwa aliyejiua Dodoma kwa kufeli.Je bado una jeuri ya anatishia?anatishia tu huyo ondoa wasiwasi!anaejiua hasemi huwa anafanya kimyakimya!anataka attention yenu tu halafu ni dada yako lakini hajakua ana akili za kitoto.we mwambie jiue tu umechoka uone kama atajaribu
Hats yule aliyejiua kule Moshibkwa kufiwa na mama yake na kisha kupigia simu ndugu zak walioishia kumwambia kuwa anatishia, walimkuta kwenye kamba. Same kwa aliyejiua Dodoma kwa kufeli.Je bado una jeuri ya anatishia?Mara nyingi huwa anayesema atajiua huwa hathubutu kufanya ivo hata cku mo1 lakin usisubir ad tukio litokee chukue hatua haraka
Hata yule aliyejiua kule Moshibkwa kufiwa na mama yake na kisha kupigia simu ndugu zak walioishia kumwambia kuwa anatishia, walimkuta kwenye kamba. Same kwa aliyejiua Dodoma kwa kufeli.Je bado una jeuri ya anatishia?Kumbe ANATISHIA..??? Achana nae tu. Fanya kazi zngne
Fid q ....................Bora kukutwa na fuvu la mtu ndani ya kabati kuliko kuwa na ndugu halafu kichwa maji
Tatizo ni muajiriwa. Angekuwa hafanyi kazi ningefanya hivyo.Kama una uwezo mchukue uishi nae mpk atakapokuwa fresh
Unajua kuna wakat matatizo yanakuwa yanamuandama mtu sana km una roho ndogo hayo ndio maamuzi unayofikiria haswa ukiona watu hawakujali
Mm nimeshapata matatizo kama sio ndg zangu kuwa namm kwa kila hali labda nsingekuwa hapa leo
Asante kwa ushauri wakoMaybe mngetafuta namna ya kuclear hayo madeni yake, akishabak free na hadaiw naamn hzo stress ztapungua, lakn hata kama ukimchukua ukaish nae while bado hayo maden yanamsumbua utakua hujasolve tatizo, Kaen kama family muone n namna gan mtamsaidia kulipa hayo maden af mambo mengine yatafuata.